Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chunga kopo lako wewwee na mpumbavuu..?
Kati ya Kiba na Mond nani mpumbavu?
Utaolewa dogo kwa chuki zako
Baada ya maneno kuzagaa kwamba kwa sasa yupo na mwanamke mwingine, wakati huohuo bado anaendelea na Wema Diamondplutnamz ameamua kuweka wazi na kuandika haya kwenye page yake ya Instagram:
View attachment 603029
Bila shaka wewe ni kichaa!. Kiba ni nani? Pumbavu!
Hapa umeniacha kidogo. Inakuaje unasema kaumia na moyo wa mtu ni kichaka?!Mfa maji huyo ...Zari keshamuacha ,,kaumia ,,Basi anajaribu kusema yeye ndo kaacha hahahhaahahaa
Mwanamke akiwa hana njaaa njaaa Raha kweliiii
hata mimi kanipiga bani nilivyomcheki inboboMange kimambi kanipiga bani kisa kumwambia aache kufatilia mambo ya diamond. Wasanii wanatafta kiki ili waendelee kutrend kwenye masiko ya watu.