Sumve 2015
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 4,563
- 4,227
We kijana mi nimsanii mkubwaa 😁 jiheshimuWewe billnas ndio ulimfanya girl friend wako aperform vibaya naona mlipiga mechi before ya show sio vizuri hivyo utamuharibia mwenzako kazi.
#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcertWiki iliyopita kuibuka mzozo wa Burnaboy na Diamond nani mkali
Jana kwenye show ya MTV Base Afrika kijana wetu kagongelea msumari hakuna wa kumzidi kwenye perfomance stejini au kokote akifanya show
Katika channel ya Youtube ya MTV Base Africa katika comments 1650, hadi sasa wengi waliokomenti ni watu wa nje na katika comments hizo asilimia takribani watu 9 katika kila watu 10 wamemzungumzia na kumpongeza msanii wetu Diamond Platnumz
Watu kutoka pande marekani, dubai, london, nk walitoa yao ya moyoni
Ebu ifungulie Uzi hii habari mzee#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcert
Akiwa kwenye Kipindi cha XXL B Dozen amesikika akisema kuwa "Leo kama unanisimamisha kazi wewe nisimamishe ila Shout out kwa Almas men ameuwa sana", Dozen alimaliza kwa kicheko. Ikumbukwe kuwa Diamond kwa kiswahili ni Almas
Kwenye Tamasha hilo lililofanyikwa online kwa Tanzania tuliwakilishwa na @diamondplatnumz & @officialnandy. Diamond amepokea pongezi nyingi kwa kufanya kitu cha utofauti na wasanii wote wa Afrika ambapo aliimba live wimbo wake wa Jeje akiwa kwenye Jumba lake la Kifahari
This Post is powered by #TECNOSpark5 & @dropzonetz
#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber
View attachment 1460296
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila kusahau mawingu Leo kwenye kipindi Cha Xxl wamemsifia diamond regardless bifu lao
ugomvi huu utawa cost sana mawingu, heri wayamalize tuBila kusahau mawingu Leo kwenye kipindi Cha Xxl wamemsifia diamond regardless bifu lao
Diamond Ni Kama maji hakwepeki kwenye matangazo yupo kwenye mziki utamzungumza na kwenye maisha binafsi utayazungumzia mtu Kama huyu unaanzaje kuwa na bifu nae hiki kitu kinawarudisha Sana nyuma clouds.ugomvi huu utawa cost sana mawingu, heri wayamalize tu
Nani kakupa ruhusa ya kutoa Siri za kingKiba yebaba!!! Wakati unajua kabisa hapendi show OFFAlikiba alishawahi perform BET na kombe la dunia, Sema aliomba kamera zisizwepo
Sent using Jamii Forums mobile app
#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcert
Akiwa kwenye Kipindi cha XXL B Dozen amesikika akisema kuwa "Leo kama unanisimamisha kazi wewe nisimamishe ila Shout out kwa Almas men ameuwa sana", Dozen alimaliza kwa kicheko. Ikumbukwe kuwa Diamond kwa kiswahili ni Almas
Kwenye Tamasha hilo lililofanyikwa online kwa Tanzania tuliwakilishwa na @diamondplatnumz & @officialnandy. Diamond amepokea pongezi nyingi kwa kufanya kitu cha utofauti na wasanii wote wa Afrika ambapo aliimba live wimbo wake wa Jeje akiwa kwenye Jumba lake la Kifahari
This Post is powered by #TECNOSpark5 & @dropzonetz
#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber
wambeya huwa hawakosi hapo nimeskia kibint kinasema heshima apewe lakini sasa hii lakini ya nini tena
View attachment 1460296
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo huu ndio ushahidi wako mkuu? Au unatania
Ebu ifungulie Uzi hii habari mzee
Ushahidi hiv uoni diamond alivyotredi kwa hiyo show au wewe unamtandao wa kijamii wowote?
Sema wewe Ni hater utakuwa.Natumia Jf. Twiter. Badoo na Fb. Kote huku sjaona iyo unayoiita kutrend