Diamond atuzwa ufalme wa kuwa Mtumbuizaji Bora Afrika

Diamond atuzwa ufalme wa kuwa Mtumbuizaji Bora Afrika

Wiki iliyopita kuibuka mzozo wa Burnaboy na Diamond nani mkali

Jana kwenye show ya MTV Base Afrika kijana wetu kagongelea msumari hakuna wa kumzidi kwenye perfomance stejini au kokote akifanya show

Katika channel ya Youtube ya MTV Base Africa katika comments 1650, hadi sasa wengi waliokomenti ni watu wa nje na katika comments hizo asilimia takribani watu 9 katika kila watu 10 wamemzungumzia na kumpongeza msanii wetu Diamond Platnumz

Watu kutoka pande marekani, dubai, london, nk walitoa yao ya moyoni
#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcert

Akiwa kwenye Kipindi cha XXL B Dozen amesikika akisema kuwa "Leo kama unanisimamisha kazi wewe nisimamishe ila Shout out kwa Almas men ameuwa sana", Dozen alimaliza kwa kicheko. Ikumbukwe kuwa Diamond kwa kiswahili ni Almas

Kwenye Tamasha hilo lililofanyikwa online kwa Tanzania tuliwakilishwa na @diamondplatnumz & @officialnandy. Diamond amepokea pongezi nyingi kwa kufanya kitu cha utofauti na wasanii wote wa Afrika ambapo aliimba live wimbo wake wa Jeje akiwa kwenye Jumba lake la Kifahari

This Post is powered by #TECNOSpark5 & @dropzonetz

#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber







Sent using Jamii Forums mobile app
 
#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcert

Akiwa kwenye Kipindi cha XXL B Dozen amesikika akisema kuwa "Leo kama unanisimamisha kazi wewe nisimamishe ila Shout out kwa Almas men ameuwa sana", Dozen alimaliza kwa kicheko. Ikumbukwe kuwa Diamond kwa kiswahili ni Almas

Kwenye Tamasha hilo lililofanyikwa online kwa Tanzania tuliwakilishwa na @diamondplatnumz & @officialnandy. Diamond amepokea pongezi nyingi kwa kufanya kitu cha utofauti na wasanii wote wa Afrika ambapo aliimba live wimbo wake wa Jeje akiwa kwenye Jumba lake la Kifahari

This Post is powered by #TECNOSpark5 & @dropzonetz

#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber





View attachment 1460296

Sent using Jamii Forums mobile app

Ebu ifungulie Uzi hii habari mzee
 
ugomvi huu utawa cost sana mawingu, heri wayamalize tu
Diamond Ni Kama maji hakwepeki kwenye matangazo yupo kwenye mziki utamzungumza na kwenye maisha binafsi utayazungumzia mtu Kama huyu unaanzaje kuwa na bifu nae hiki kitu kinawarudisha Sana nyuma clouds.
 
#ETrending Mtangazaji wa kipindi cha XXL cha #CloudsFm Bdozen amechagua kusimamishwa kazi kuliko kuacha kukisifia kile alichokifanya @diamondplatnumz usiku wa jana kwenye Tamasha la #AfricaDayBenefitConcert

Akiwa kwenye Kipindi cha XXL B Dozen amesikika akisema kuwa "Leo kama unanisimamisha kazi wewe nisimamishe ila Shout out kwa Almas men ameuwa sana", Dozen alimaliza kwa kicheko. Ikumbukwe kuwa Diamond kwa kiswahili ni Almas

Kwenye Tamasha hilo lililofanyikwa online kwa Tanzania tuliwakilishwa na @diamondplatnumz & @officialnandy. Diamond amepokea pongezi nyingi kwa kufanya kitu cha utofauti na wasanii wote wa Afrika ambapo aliimba live wimbo wake wa Jeje akiwa kwenye Jumba lake la Kifahari

This Post is powered by #TECNOSpark5 & @dropzonetz

#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber




wambeya huwa hawakosi hapo nimeskia kibint kinasema heshima apewe lakini sasa hii lakini ya nini tena
View attachment 1460296

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Wana ni diss alafu wana nikubali kiana.......wana ni kubali kiana..kubali kiana......."(Kwa sauti ya Chid )

Huyo ndiye Mondi " hapigiwi anacheza pakavu anateleza and you can't stop him sana sana atakupoteza......."

Ktk maisha hamana kitu kizuri kama kujua unachokifanya,kujua unachokitaka alafu ufanyeje ili upate unachokitaka ,hapa ndio Mondi anapo wapiga gap wenzake EA.
 
Back
Top Bottom