sasa kiba aogope nn tena huyo msanii wenu angerushiwa makopo ashukuru akifanya show na kiba c tunadunda tu ----- huyo anachezea watoto wa k/koo nyambafuu
Mbona me cjandika kwa jazba y niwe n jazba sema nakupa facts take it easy
mbona diamond alisema atazindua tv yake mpaka leo hatuioni hivyo vitu ni kutafuta attention ya mashabiki tu basi
kiba hana njaa na anafanya mziki kipaji ndo maana hayupo sirious kwani c aliitwa arusha na lowasa akachomoa huyo wanapiga pesa kina babu tale tu
we unafacts au ni vurugu tu zako ww watu wametulia yule dogo anapelekwa sana na kina tale hayo mambo ndo yalimfanya agombano na nature anataka anavyotaka yeye exploiter manager
Ndo mtindo wa kiba huo ila mnakumbuka TIGO music mlirusha makopo tukanza kuwarushia elfu 2 mkaanza kugombania so nyie rusheni makopo sie tutawarushia elfu 2 mtaacha tu
mbona diamond alisema atazindua tv yake mpaka leo hatuioni hivyo vitu ni kutafuta attention ya mashabiki tu basi
'Mziki kipaji'
'Hayuko serious'
Mburula wewe
waliokota ni mashabiki wa diamond sio wa kiba cc hatuna njaa hizo
'Mziki kipaji'
'Hayuko serious'
Mburula wewe
Kwanza tuna deal n earphones chibu beats kwanza TV alisema atazidua lini
ndo maana nikasema we unajibu kwa hasira sio facts wakati alivyoenda cloudz kuhojiwa kwa zari black party alisema ataanzisha tv nenda kaaangalie interview kwa millard ayo utaikuta
matusi ya nn mkuu just relax n het prepared for new season from kiba
Tarehe 8/8 2015 Kuna shoo ya juma nature n diamond tanga waligombana nini kwani
c umeona sasa unavyokurupuka unamjua ummykitwana ?? dogo hujui vitu ww ngoja nikuache wale kina tale matapeli wale wanakufanya unakua maarufu ila pesa hawakupi z anto mb dog keisha ferooz ask them about exploiter of diamond managers ???
Kwa hyo na wewe hapa unatafuta attention???
Mbona makopo yaliachwa kutupwa lakini n ww uliokota elfu 2
c umeona sasa unavyokurupuka unamjua ummykitwana ?? dogo hujui vitu ww ngoja nikuache wale kina tale matapeli wale wanakufanya unakua maarufu ila pesa hawakupi z anto mb dog keisha ferooz ask them about exploiter of diamond managers ???