Diamond awa mtanzania wa kwanza kutembea na mbwa fukwe za mbali


siku hizi wamarekani minimum stay wanatoa 1 year multiple viza na inasaidia sana mtu mwenye tripu mfululizo kutokuomba viza kila safari.
 
siku hizi wamarekani minimum stay wanatoa 1 year multiple viza na inasaidia sana mtu mwenye tripu mfululizo kutokuomba viza kila safari.

Kwa uo mwaka wenzio wabongo kwa uko ulaya wanaona wiki mbili, unajua mtu raha zikikuzidia hutaman hata kuhesabu siku unataman uendelee tu kula bata mwisho wa siku unajikuta umekaa miaka mitatu usa. Maana wabongo wanayaweza
 
Kwa uo mwaka wenzio wabongo kwa uko ulaya wanaona wiki mbili, unajua mtu raha zikikuzidia hutaman hata kuhesabu siku unataman uendelee tu kula bata mwisho wa siku unajikuta umekaa miaka mitatu usa. Maana wabongo wanayaweza

ujinga tu unawasumbuwa kwa sababu hawafikii hotel bali kwenye apartment za wabongo with free lunch, kukaa sehemu huingizi pesa ni ujinga tu bora uje ukwaluwe show za mtwara uingize kiasi cha mboga.
 
Makubwaaaaaaaaa kwan hapo yupo nchi ganiii
 
Kwa uo mwaka wenzio wabongo kwa uko ulaya wanaona wiki mbili, unajua mtu raha zikikuzidia hutaman hata kuhesabu siku unataman uendelee tu kula bata mwisho wa siku unajikuta umekaa miaka mitatu usa. Maana wabongo wanayaweza

Hiyo pesa si bora angemalizia nyumbaaaa huyo mbwaa mwenyewee
 
Bongo iko kazi.Sasa kama ndo huyu mtanzania wa kwanza kupiga picha na Achumani wa kuzungu, awekwe kwenye Guiness book of record huyu.
 
Na kweli haters watakoma.... mbwa mwenyewe wakawaida mbona anakuwaje expensive waje huku mnadani dom wako wengi tu wanazurura wapige nao picha ...
 
ujinga tu unawasumbuwa kwa sababu hawafikii hotel bali kwenye apartment za wabongo with free lunch, kukaa sehemu huingizi pesa ni ujinga tu bora uje ukwaluwe show za mtwara uingize kiasi cha mboga.
Hao wanakera sana,unakutana wengine wanalala mtaani,akikuona mweusi anakufuata anakuuliza we umetokea nchi gani?aisee kama we mtanzania ukakutana na mtaanzania atajifanya anajua sana kuhusu Tanzania na moyo wa huruma walio nao,mwisho anakuomba hela,ukimwonyesha unapokaa ndo utakuwa umefanya kosa
 
Huyo mbwa anaweza akawa wa bei ila si bei ya Verosa
 
Habari nyingine za huyu dogo sasa zinakera
Mbwa bei ya verosa?au mmejisahau mkajuwa na sisi ulaya na marekani hatufiki?
Mbona ndio maisha yangu huko unadanganya watu peupe tena enzi hizi.

My kibo10...its jokn huh!!!usiumize kichwaaa!!njoo niku-massage yoh head...bwahahahaa mtoa mada umenikosha sana
 
Hahahshahahahahshahah

Hahahahhahahahahahahahahaha

Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…