Diamond awa mtanzania wa kwanza kutembea na mbwa fukwe za mbali


Usilie sasa,,
 

pole sana Mtanzania mwenzangu kwa kuumizwa na uzi huu...oh this is very bad..anyway swaumu inaendeleaje ?
 
Pole angeenda mkomazi akanunua digidigi na kupiganae picha kisha ampelekee mama ndomo akamfanye kitoweo!
 
hahaha mtanzania wa kwanza to do waaaaat..ivi hili nalo ni la kuweka rekodi jmn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…