Diamond awapiga Clouds kijembe cha kiutu uzima

Ngoma cye tunaisikia ma times fm huko,East ,Efm nk ww tuu unayesikia redio moja ndiyo huisikii au unaona haikiki
Kujifariji ni sehemu ya maisha nenda kawauze Ant-virus walikumbwa na kimbuga aina gani!!

Rubby kaingia choo cha mateja! Rubby kimziki kashazikwa pamoja na efm kuwa wanampa kiburi! mwisho wa rubby ni kuja kupitia njia aliyopitia ray c
 
Kujifariji ni sehemu ya maisha nenda kawauze Ant-virus walikumbwa na kimbuga aina gani!!

Rubby kaingia choo cha mateja! Rubby kimziki kashazikwa pamoja na efm kuwa wanampa kiburi! mwisho wa rubby ni kuja kupitia njia aliyopitia ray c


ahsante hivi upo wapi mkuu upate hata moja moto moja baridi njoo Element mkuu
 
Namchukia Ruge sana tuu

We kama unampenda endelea hukatazwi
 
Ngoma cye tunaisikia ma times fm huko,East ,Efm nk ww tuu unayesikia redio moja ndiyo huisikii au unaona haikiki
Unakuta mtu ana skiliza cloydz fm 24/7 halafu ana taka amskie Ruby

Khaaa!!, wabongo bhana!!
 
Wee jamaa ni muogo kiwango cha reli standard gauge! Uliowataja hapo mwanzo niwashika pembe kama siyo diamond wangekufa njaa! Huwezi kutaja waliomsupport diamond ukamwacha JK

Naogopa nikiendelea ' kubishana ' na Wewe ID yako ' itanidhuru ' na ukizingatia sasa ni usiku.
 
huyo ndiye meneja haswaa anayefahamu majukumu yake,namwombea kwa MUNGU aendelee kumsimamia vizuri Platnumz,big up sana Salaam popote pale ulipo
 
Ushasema ni hayo maoni yako baaas.
 
Kenya hasa Nairobi ni nyimbo za Diamond TUU. Taxi, matatu, Magari ya kukodi na social places. Salome ameshika kasi huko. Anapendwa kuliko chakula.
Waenya wanavutiwa tu na jinsi tunavyoongea,ukimuuliza wimbo unamaanisha njni hajui
 
Lakin hata hvo kwasasa clouds inamheshimu sana mondi,nazan angekuwa msanii mwingne wangekuwa wameshazinguana nae sku nyingi,kwan kwa hzo show zao za bei nafuu hawampelek sana,toka fiesta ianze wamempeleka mwanza tu
 
Wanaume wa dar mnatisha
 
Kwa hiyo alichokisema hakiwahusu hao watu?
 
yuko right kabisa,huyo kubwa la maadui alijaribu hadi kumbania channel o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…