Diamond awatumbua waliosema hana uwezo wa kununua nyumba South Africa


Hiyo nyumba kakodi? Kivipi useme hivi wakati inasemwa amenunua?
 
Hao watu uliowataja UMEZIJUAJE MALI ZAO KAMA HAWAJAZITANGAZA ...........??

Kama Benny nilimshuhudia mi mwenyewe, wacko jacko niliona BBC sio kwenye social media stupid Tanzanian


Mtaishia kujenga viwanda vya umbea na ngono
 
Amekodi

Jinsi alivyo mswahili tena punguwani angepost sales agreement vere stupid one

OMG

Wewe una wivu

Apost ili iweje kwako ukiona?

Umekaa South unapugika huna hata kibanda nafikuri ndio maana hauamini, mtoto wa Tandale kujiendeleza.

Pole kamuombe kazi ya u shamba boy.
 
Kama Benny nilimshuhudia mi mwenyewe, wacko jacko niliona BBC sio kwenye social media stupid Tanzanian


Mtaishia kujenga viwanda vya umbea na ngono
Kwahiyo BBC ndio waliosema ni mali zake,au yeye aliulizwa ndio akasema ........??
 
Ali hana mjengo uliopostiwa jana. Uliopostiwa jana na fans wake ni showroom ya duka. Acheni kupotosha watu
Hahaaaaaaa pole sana mkuu,tatzo mnapenda kumezeshwa sumu na akina sallam af mnaufanya ndio ukweli,tangia Jana mmeambiwa hebu leteni picha ya hilo duka mnaishia kutoa povu tu
 
Leteni hzo picha hapa sio mnatokwa povu tu
 
Wewe ni mtoto wa kike haipendezi kutukana,maana humu wanapita wengi, sasa waweza kujikosesha bahati ya wachumba kwa matusi yako.
wachumba wenyewe kina wewe bora nikose tu sijui nikutukane tusi gani ili nikose kabisa
 
Hahaaaaaaa pole sana mkuu,tatzo mnapenda kumezeshwa sumu na akina sallam af mnaufanya ndio ukweli,tangia Jana mmeambiwa hebu leteni picha ya hilo duka mnaishia kutoa povu tu
Kwani kiba kasema ile ni nyumba yake ....?
 
wachumba wenyewe kina wewe bora nikose tu sijui nikutukane tusi gani ili nikose kabisa
Mi huwa sijali matusi,ila kuna wanaume wenzangu wengine hawastahimili matusi,mi nakuomba acha matusi ili husijikoseshe bahati.
 
OMG

Wewe una wivu

Apost ili iweje kwako ukiona?

Umekaa South unapugika huna hata kibanda nafikuri ndio maana hauamini, mtoto wa Tandale kujiendeleza.

Pole kamuombe kazi ya u shamba boy.

Kakodishiwa na baasha wake
 
Kakodishiwa na baasha wake
Nilicho gundua we jamaa una wivu
Kwan kipind jamaa anatoka kimziki nyie si mlimuona
Kipindi analishiwa chupa ,mayai
Ame hustle mwenyew nyie leo mnaleta shobo kumpangia mtu maisha mamaeeee
Mond wanyooshe kama imekuboa kunya boga
 
Afu kama kunamwanaume ana wivu wa namna iyo sio bule atavishwa dela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…