Diamond awatumbua waliosema hana uwezo wa kununua nyumba South Africa

Diamond awatumbua waliosema hana uwezo wa kununua nyumba South Africa

Dar kiwanja tu huwa ghali bado na nyumba ndo isiseme na unakuta nyumba mbovu, kiwanja kidogo. Last year mbezi beach kiwanja tu hakijajengwa kilikua kinauzwa billion moja na nusu

Baada ya magufulification bei za viwanja na nyumba zimeshuka sana has Dar.
 
Kwa kweli ni mshamba wa kutupa,wenzake kina prezo,jaguar hawanaga hizo mambo labda had wafanyiwe interview ila yeye aisee,elimu elimu elimu.
Wewe si mpenzi wa muziki au sio mfuatiliaji wa mambo ya muziki na wanamuziki wenyewe, maana ungekuwa wa hivo,husingeshangaa kwa DIAMOND. Sio kila fani unaweza kuijadili vingine muwe mnapiga kimya,anavyovifanya DIAMOND kwenye tasnia ya muziki kiujumla ni trela tu.
 
Acha basi,mana unazidi kujifedhehesha,kama hujui maisha ya watu yana saidia kukupa nguvu ya kufanya mambo basi hata elimu yako sikuulizi. Hujui kuwa kuna watu wameandika vitabu na kutengeneza movie zinazohusu maisha ya watu na wanapiga pesa .......??
Achana na huyo...utachoka bure. Kilichomleta kwenye hii thread hakijui
 
Nasikia baada ya kuona mjengo wa kiba na yeye kaanza kupost take ya SA
1477490404087.jpg
 
Mange huwa na chuki sana kwa kila mtu anayeonesha kupiga hatua hasa "maselebu"

Alivyokuwa ameikomalia hii issue ya nyumba,sipati picha angekuwa mchawi!
 
Haya mambo ya kitoto anayoyafanya Diamond yanampotezea sana mashabiki wastaarabu, yeye ni msanii mkubwa anayeheshimika Africa atajibishanaje na mafans wa Kiba, ujinga mtupu anaoufanya.
Bila shaka kuna mtu kaiba ID yako,sio wewe .......?
 
Watanzania wakipata kidogo shida, wenye private jets na manyumba dunia nzima wametulia wanakula bata yeye busy kupost kinyumba cha kawaida kabisa. Dogo wewe sasa hivi superstar pungunza ulimbukeni.
 
Acha basi,mana unazidi kujifedhehesha,kama hujui maisha ya watu yana saidia kukupa nguvu ya kufanya mambo basi hata elimu yako sikuulizi. Hujui kuwa kuna watu wameandika vitabu na kutengeneza movie zinazohusu maisha ya watu na wanapiga pesa .......??

Kijifedhesha unajifedhehesha wewe na huyo ndomo ndole

Watu wana Nyumba Paris , yeye anatuletea Nyumba ya kukodi tena Soweto Orlando west unajiita una pesa ma.Vi kabisa
 
Watanzania wakipata kidogo shida sasa kwenye private jets na manyumba dunia nzima wametulia wanakula bata yeye busy kupost kinyumba cha kawaida kabisa. Dogo wewe sasa hivi superstar pungunza ulimbukeni.


Tena ipo Soweto Orlando west hahahaha
 
Kijifedhesha unajifedhehesha wewe na huyo ndomo ndole

Watu wana Nyumba Paris , yeye anatuletea Nyumba ya kukodi tena Soweto Orlando west unajiita una pesa ma.Vi kabisa
Hivi wewe upo Yomboo ipi, ya Bagamoyo au ya Dar.......Mana sometimes akili ya mtu inategemea na anapoishi.
 
Bila shaka kuna mtu kaiba ID yako,sio wewe .......?
unaona anachofanya ni sawa? diamond utoto umemjaa ila simlaumu yeye nawashangaa management yake wanashindwa kumcontrol kuhusu public affairs! anyway akumbuke watz ndo walimuweka juu na hao hao ndo watamshusha .aendelee kuenjoy insta!
 
Kijifedhesha unajifedhehesha wewe na huyo ndomo ndole

Watu wana Nyumba Paris , yeye anatuletea Nyumba ya kukodi tena Soweto Orlando west unajiita una pesa ma.Vi kabisa
mimi ni shabiki wa diamond sana anavoishi kwenye mitandao anatakiwa apate control toka kwa management yake .ukimkosoa diamond humu kuna vitoto vinajiona vinamjua sana diamond wakati wamemfahamu kwenye salome achana nao mkuu
 
unaona anachofanya ni sawa? diamond utoto umemjaa ila simlaumu yeye nawashangaa management yake wanashindwa kumcontrol kuhusu public affairs! anyway akumbuke watz ndo walimuweka juu na hao hao ndo watamshusha .aendelee kuenjoy insta!
Kwani na wewe ni mmoja wao kati ya waliomuweka juu .........??
 
Back
Top Bottom