kipanta
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 925
- 1,086
Mmh bongo bana...namkumbuka na marehem steven kanumba RIP brother...alikuwa akipambanishwa na RAY but baada ya kuondoka angalia tathnia ya muvi bongo ishabaki ulimbo..na aliyejiita mpinzan RAY bado hana kitu...unafiki wa bongo na uzumbukuku ndio unaofanya wasanii wetu wawe wanagive up...