Diamond awatumbua waliosema hana uwezo wa kununua nyumba South Africa

Diamond awatumbua waliosema hana uwezo wa kununua nyumba South Africa

brave one

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
4,879
Reaction score
7,386
Diamond ameamua kuonyesha uswahili wake kw wale walikuwa wanasema hana uwezo wala hawezi nunua nyumba south africa
Picha inajielewa zaidi


1477424693870.jpg

1477424740589.jpg
 
Hahaaaaaaa hapo anapunguzia maumivu kwa kweli pole yake na hongera kwa kununua mjengo. Ila hyo caption kaiandika kwa hasira
South nyumba bei chee kuliko Tanzania hasa maeneo ya kitajiri, Tanzania Dar kun maeneno nyumba ya kawaida usd 200000, south unanunua hekalu kabisaaa. So ni uamuzi nafuu kwake kama mwanamuziki, itamsaidia... ila inaonekana kijana anaanza kuwaogopa kina nanilii
 
Hahaaaaaaa hapo anapunguzia maumivu kwa kweli pole yake na hongera kwa kununua mjengo. Ila hyo caption kaiandika kwa hasira
Hata huyu aliyeweka huu uzi ameuweka kwa hasira ili kuwaumiza moyo ule upande wa pili, ila haiondoi ukweli kwamba "dawa ya kuondoa maumivu ya kukosa mwali, ni kukubali kuwa bado mziki wetu ni wakuunga unga" na bado tunasafari ndefu ya kuwafikia wenzetu.
 
South nyumba bei chee kuliko Tanzania hasa maeneo ya kitajiri, Tanzania Dar kun maeneno nyumba ya kawaida usd 200000, south unanunua hekalu kabisaaa. So ni uamuzi nafuu kwake kama mwanamuziki, itamsaidia... ila inaonekana kijana anaanza kuwaogopa kina nanilii
Dar kiwanja tu huwa ghali bado na nyumba ndo isiseme na unakuta nyumba mbovu, kiwanja kidogo. Last year mbezi beach kiwanja tu hakijajengwa kilikua kinauzwa billion moja na nusu
 
Back
Top Bottom