Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Sio kila bidhaa ni ya kila mtu. Tatizo ni Diamond au bei? Mbona watu tunanunua cologne za 150,000 hadi 200,000 bila shida? Tena sio moja. Wapo watakaonunua.
Shida ni diamond na wala sio bei. Kama mtu hawezi iyo bei si aache. Mbona zinanunulika

Uyu dogo atazidi kuumiza watu roho kwakweli.
 
Hivi unamfananisha wema sepetu na nassib Abdul? Wema sepetu fans wake ni matusi.com hawako serious kwenye vitu vyake vya maendeleo. Iyo iko wazi na ni tofauti na mashabiki wa Nassib.
Halafu kingine kuhusu kunukia sawa hiyo ni kawaida, mimi nmeshasimamishwa mara kibao kuulizwa natumia perfume gani mtu akanunue. Ingekua kunukia sawa perfume ingekua inatoka moja tu per brand.

Kuhusu elimu, bakhresa ana elimu gani na yuko wapi? Hao wenye maelimu wako wapi?
 
Kitabu kama hukielewi hujaandikiwa wewe.
 
Kuna thread ya perfume humu, watu wengi wanatumia issey miyake, creed etc mbona hawasemi watanukia sawa...shida ya wengi humu ni chuki dhidi ya Diamond.
 
Hivi hawa GSM ndio wanamkweza diamond au daimond anawakweza GSM!? Jibu sahihi hapa litatufanya tujue kuwa huyu msanii naye anaangukia kwenye 'bubble popularity'.
Kuwatageti 'wapanda ndege' na wenye uwezo wa kulipia 11k kwa ajili ya perfume ina maana unatergerti watu wenye uelewa na mtu yeyote mwenye uelewa sidhani kama anaweza kuwa sehemu ya 'utanzania' huu!
 
Duh! Angezileta kipindi cha Mkapa au Kakaya, watumiaji wangekuwa wengi.
Hata hivyo wabongo kwa kuchakachua, kesho kutwa utaikuta dukani kwa Mangi Chibu perfume 7000/=
Ngoja nisubirie ya kaka Harmorapa labda nitaimudu.
 
Huyo katumiwa tu coz ni celebrity basi watu wanapiga hela kupitia yeye,,,,japo ni njia nzuri ya kufany promotion lakin kwa bei hiyo apana axeeee,,,ming mnooo
 


Hivi huyo jamaa mwenye sura kama huyo kinyago cha kimakonde si ni yule anaye angamiza wasanii kwa kuwapa mizigo ya kwenda nayo South? Huyu mtuhumiwa anatumia cologne kweli, maana anaonekana ni mtu wa kunuka makwapa na sehemu nyeti mwilini.
 
Hivi kwann watanzania hatuna utamaduni WA kuacha tusivyovimudu Kwa wenye uwezo nazo Bila malalamiko na majungu?ukiona bei kubwa ujue haikutengenezwa Kwa ajiri yako we piga kimya nunua ya bei unayoimudu maisha yaendelee,kila mfanyabiashara huwa analenga tabaka fulani kulingana na thamani ya bidhaa yake na malengo yake,ye kaipa thamani hiyo bidhaa yake tumuache afanye biashara tusilete uteam Kiba hapa na kumuombea njaa kijana mwenye uthubutu.
 
Loser mind...nahisi hapo ht 10000 mfukoni huna
 
Zari ana akili sana;
amshukuru, angebaki na hawa wabongo angeshangaa.
 
Hivi huyo jamaa mwenye sura kama huyo kinyago cha kimakonde si ni yule anaye angamiza wasanii kwa kuwapa mizigo ya kwenda nayo South? Huyu mtuhumiwa anatumia cologne kweli, maana anaonekana ni mtu wa kunuka makwapa na sehemu nyeti mwilini.
we jamaa umasikini wako unasababisha uwe na chuki
 
Hivi huyo jamaa mwenye sura kama huyo kinyago cha kimakonde si ni yule anaye angamiza wasanii kwa kuwapa mizigo ya kwenda nayo South? Huyu mtuhumiwa anatumia cologne kweli, maana anaonekana ni mtu wa kunuka makwapa na sehemu nyeti mwilini.
Huyo jamaa anaitwa Ruge. Labda na wewe jitaje hapo ili tuwafananishe tuone nani anaweza kuwa mnuka kwapa.
 
Shida ni diamond na wala sio bei. Kama mtu hawezi iyo bei si aache. Mbona zinanunulika

Uyu dogo atazidi kuumiza watu roho kwakweli.
Hivi mtu akiku criticize au akiwa na mtizamo tofauti na wewe/mtu fulani ni kwamba hakupendi/hampendi au anakuchukia/anamchukia huyo mtu??

Ni dhambi kuwa na mawazo mbadala ya jambo/kitu fulani kilichofanywa/kinachofanywa na mtu/watu fulani? Wewe yawezekana hujalalamika sababu hiyo perfume unaweza kuafford lakini hivi angeuza tuseme million 1 au hata 2 na wewe usingetoa povu kama tunavyotoa sie maskini tunaoshindwa hiyo 105,000/-?

And why is it everyone that disagree na huyo bwana Diamond is a hater?
 
Hater ndiye huona kila jambo atakalofanya mtu ni baya. Ata km likiwa jema bado ni baya. Kutoweza ku "afford" kitu haimaanishi ndio ukiponde.

Kama uwezo wako ni tv ya chogo 12' sio kwamba ndio uiponde LG 32' kisa huwezi inunua. Nunua unachoweza sio umlazimishe mtu auze kwa price unayoitaka wewe
 
Una hakika kila aliyelalamika bei hapa ni hater wa huyo Diamond?

Sijui una uelewa gani, lakini kwani kulalamikia bei ni sawa na kuponda bidhaa ya huyo Diamond.. Apart from Mziki, wengine tulihoji ile clothing line yake inafanyaje sokoni? Mbona huku mtaani hatuoni watu wakivaa hizo brand za WCB.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…