Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Niache na uelewa wangu. Nimesema nilichotaka kukisema kwa wakati niliousema.

Adios!
 
Lady Van
haya yote ni kwa sabab ya chibu tu!?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
i wish ..........
U wish u were chibu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

My dear am ready to fight for you. I always do that to the people i like/love.
 
U wish u were chibu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

My dear am ready to fight for you. I always do that to the people i like/love.
hili ngoja nikwambie hapa hapa, hadharani, yaan had sku hizi naanza kumchukia chibu [emoji23]
 
hili ngoja nikwambie hapa hapa, hadharani, yaan had sku hizi naanza kumchukia chibu [emoji23]
Acha hizo sasa. Maana ukimchukia tunaweza kua maadui [emoji19] [emoji19] [emoji19] upendo sio km wa mimi na wewe. Ni wa fan na msanii basi
 
Acha hizo sasa. Maana ukimchukia tunaweza kua maadui [emoji19] [emoji19] [emoji19] upendo sio km wa mimi na wewe. Ni wa fan na msanii basi
duuuh!! yaan upendo wa msanii, ambao nilimchukia, mimi ndio ntaondoka!! mweeer!!!
we need to talk, tena boldly over this
 
Usawa huu wa magu mbona kazi anayo

Kama target yake ni soko upande wa kina mama anaweza kupumua kidogo, sidhani kama wanaume wanaweza kupitia trouble zote za kutoa misimbazi 10+ kua na perfume Lina jina chibu

 

Attachments

  • upload_2017-4-27_17-47-36.jpeg
    4.2 KB · Views: 34
  • upload_2017-4-27_17-48-3.jpeg
    21.2 KB · Views: 28
Kwani hakuna size ya vichupa vidogo (vile vya jerojero gulioni)
Na je hawauzi ya kupima au ya paketi ndogo kama viroba.?
Ahghh..! Kumbe mmesema perfume mie nlikuwa sijaelewa vizuri!
Hahaa dah unanivunja mbavu
 
Kweli kabisaa
Huyu mtoto anajua sembe 1kg ni 2000!!! Atoe sembe ya daimond 1600 kwa 1kg tutamuelewa.
 
Ukinikuta nimenunua perfume inazidi 15,000 nitakua nimechanganyikiwa, nakuruhusu nikamate nipeleke mirembe
 
nilikuwa nadhani ni pesa mingi yenye unaeza nunua nayo shamba. nilipobadilisha kwa currency ya Kenya, nikapata ni pesa moja mbuzi sana.

Unajua heka moja shilingi ngapi?? Ukienda kijijini unapata heka kwa 70 hadi 50

Mbuzi mmoja ni 30Tshs siku za sikukuu ni 50Tshs pesa ya mbuzi 2 nanunua harufu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…