Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Diamond azindua Pafyum yake ya Chibu, bei yake ni balaa

Hivi ile clothing line yake aliyoanzisha ya WCB inafanyaje sokoni?

Kama ile ameshindwa hivi kweli perfume nani atanunua kwa hiyo bei? Exposure yote aliyonayo pamoja na kwenda ulaya kila siku bado hajui apart from mziki nini kitampatia pesa matokeo yake yeye kila siku kujaribu jaribu tu mambo.. Mara App sijui ya kuuza mziki, huko hajafanikiwa karukia perfume..

Diamond una jina kubwa sana, clothing line sijui maperfume havijawahi kumtoa msanii yeyote mkubwa hata huko duniani. Tafuta biashara ambayo inagusa matumizi ya watu ya siku kwa siku.. Angalia biashara wanazofanya akina Mo na Bakhressa.. Ushauri tu ebu jaribu hata kutengeneza kinywaji chako, iwe Juice au Soda kama za Azam au Mo hapo utatoboa mara moja maana mashabiki wako wengi ni wanafunzi na watoto wa uswazi ambao hawana kipato kikubwa ukilinganisha na hizo bei unazoweka kwenye bidhaa zako.. Na hata biashara ya Juice mteja mmoja anaweza akawa anakunywa Juice yako angalau mara tatu kwa wiki lakini hizo Perfume na nguo anaweza purchase once in a lifetime.. Akina Pdidy na 50 Cent wao wanatajirikia kwenye liquor sasa wewe si mnywaji basi fanya hata Juice hizo au hata Non-Alcoholic drinks..

Demu wako Wema alikuja na biashara gani sijui lakini pamoja na mvuto wake kwa mashabiki wake alifeli, kuwa tofauti usifate mkumbo na usifanye biashara za sifa (kwamba perfume yangu inauzwa ghali).. Hujafikia level za kutengeneza prestigious products maana mashabiki wako ni watu wa hali ya chini..

Subiri wachafu waje na mapovu umempa ushauri mzuri sana halafu market yake siielewe wewe unataka kuanzisha biashara unatoa wimbo wa kuwatukana watz kweli unaakili halafu week hiyo unatoa biashara tatizo kila kitu wanafikiria ni kiki tu
 
Hiyo bidhaa iliandaliwa na Andy -Chande,ni ya Free Mason,Mnunuaji chukua tahadhari
 
Mashabiki wa Mondy wapo manzese,Mbagala ,Temeke na badhi madale,Madereva nodaboda ,na makonda-kta,sasa hao wakipulizia na mijadho si unatengeneza bom la nyuklia?
 
Subiri wachafu waje na mapovu umempa ushauri mzuri sana halafu market yake siielewe wewe unataka kuanzisha biashara unatoa wimbo wa kuwatukana watz kweli unaakili halafu week hiyo unatoa biashara tatizo kila kitu wanafikiria ni kiki tu
Hater on point
 
Hater on point

Watu wanatoa ushauri unasema hater kweli watz kuendelea ngumu lazima asikilize ushauri ukitaka kufanikiwa kukosolewa ndio kujirekebisha haikuwa na sababu ya kutoa wimbo wa bashite labda huna knowlege ya market zero brain
 
Huyu nae sifa zitakuja zimfilisi abakie historia tu.....kipindi shigongo anamdisi kuhusu gharama za show nilimuona kama hater kumbe alikuwa sahihi......toa bidhaa ambayo hata shabiki yako wa kawaida ataimudu....ingekuwa za buku ten au angalau twenty iv tungejichanga.....akanunue mwenyewe na wasafi wenzio.
Wenzao si wenzio
 
Diamond amezindua rasmi pafyumu yake ya Chibu, itauzwa kwa bei ya 105,000 bei ya rejareja ameomba sapoti kwani anatoa ajirakwa vijana
Zitapatikana GSM Mall, Mlimani City, pia zitakuwa zikipatikana kwenye ndege



Free mason at work
 
Hater ndiye huona kila jambo atakalofanya mtu ni baya. Ata km likiwa jema bado ni baya. Kutoweza ku "afford" kitu haimaanishi ndio ukiponde.

Kama uwezo wako ni tv ya chogo 12' sio kwamba ndio uiponde LG 32' kisa huwezi inunua. Nunua unachoweza sio umlazimishe mtu auze kwa price unayoitaka wewe


Mimi ni real hater Wa domo
 
Hivi unamfananisha wema sepetu na nassib Abdul? Wema sepetu fans wake ni matusi.com hawako serious kwenye vitu vyake vya maendeleo. Iyo iko wazi na ni tofauti na mashabiki wa Nassib.
Halafu kingine kuhusu kunukia sawa hiyo ni kawaida, mimi nmeshasimamishwa mara kibao kuulizwa natumia perfume gani mtu akanunue. Ingekua kunukia sawa perfume ingekua inatoka moja tu per brand.

Kuhusu elimu, bakhresa ana elimu gani na yuko wapi? Hao wenye maelimu wako wapi?

So what
 
Biashara ya sembe sasa ni ngumu,kabadilisha gia angani,mara anauza mziki kwa web mara perfume bado kuuza mkaa tu kama mimi na temba.......Hizo perfume watatumia washkaji zake tu kina makonda,kigwangala,salam,fella na babu tale tu sie tutacheza na Nivea 24 hrs protection za buku tano au issey miyaki feki za buku 5 tu.
 
Mie ni hapa tu..
1-780x975.jpg
 
Subiri wachafu waje na mapovu umempa ushauri mzuri sana halafu market yake siielewe wewe unataka kuanzisha biashara unatoa wimbo wa kuwatukana watz kweli unaakili halafu week hiyo unatoa biashara tatizo kila kitu wanafikiria ni kiki tu
Huwa sitoi like kizembe zembe humu JF lakini hebu kamata hiyo like kwanza...

Yaani umenirudisha kwenye darasa la Marketing nikiwa chuoni, kudos mamaudaku
 
Back
Top Bottom