Diamond azomewa Stejini Wauganda wadai Arudi Tz Hawamwelewi

Sijaona wakimzomea,bali sauti ya mtu anaeongea.Acha ujinga mtoa post.Kiswahili ni lugha inayokua sana,na ndio maana waandaaji walimpa mtonyo,akafanye show.WANAMUZIKI WANGAPI HAWAIMBI KISWAHILI,NA WANAPENYA KATIKA SOKO LA MUZIKI?tatizo unakariri madesa.Kalale ukue!
 
Bullshit...
Mtoa maada una mambo ya kipuuzi kinoma.
Mimi naangalia hio video nikajua ndio video ya diamond anazomewa kumbe ni sauti ya jitu moja linaongea Bullshit. .

Mbona diamond kapiga shoo zimbabwe na Malawi ambapo hawana hata idea ya kiswahili na bado watu walihudhuria na wakajaa.

Tuma video ya watu wakizomea na sio umbea umbea tu
 
Mwandika Post hii Ni Mchawi pekee Niliyewahi Kuona ...Sasa unachukua Interview ya Mtu anayemchukia diamond Ndo Unapost?

Mimi Nimeangalia Show LIVE UBARN TV ya Uganda ..waganda wanaimba Kiswaili Hadi kiahaya Ile Nyimbo ya Saida remix ..

Hufai ,,

shame!
Shame!
Shame!
 
Yaani huyu mtoa mada ni mpuuzi kweli kweli. Anafikiri hata hao waingereza wenyewe, achia hao waganda wazungu koko, wanafurahia msanii wa kiafrika aimbe kwa Kiingereza? Hao waganda bado hawajielewi kwa hiyo hakuna haja ya kuishi kwa utashi wao. Kwanza hao waganda wanaolalamika ni wachache sana, kwa hiyo asituzengue. Akafie mbele. Kiswahili oyee!
 
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Anavyojisifia sasa huko insta na hii show angekuwa anapiga peke yake angekula za uso mbayaaa ashukuru tu ni kama fiester inawasanii wengi wa Uganda Vinginevyo badamu bangemwagikaa
 
Ujue watu wengine bhana jamaa anavyo elezea na heading tofauti yupo alie sahihi
 
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
YAANI HUYU MPINGA MAENDELEOYA WATANZANIA KAJIUNGA JAMII FORUM LEO TU KWA NIA MOJA TU YA DIAMOND NA SHOW YA JANA.HII NCHI TUNA WACHAWI WENGI NDIO RAIS WETU ANAAMUA KUZUIA KILA KITU KWANI HATUELEWEKI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…