ElikanaKuenga
Member
- Oct 7, 2017
- 30
- 21
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huyu mtoa mada ni mpuuzi kweli kweli. Anafikiri hata hao waingereza wenyewe, achia hao waganda wazungu koko, wanafurahia msanii wa kiafrika aimbe kwa Kiingereza? Hao waganda bado hawajielewi kwa hiyo hakuna haja ya kuishi kwa utashi wao. Kwanza hao waganda wanaolalamika ni wachache sana, kwa hiyo asituzengue. Akafie mbele. Kiswahili oyee!Sijaona wakimzomea,bali sauti ya mtu anaeongea.Acha ujinga mtoa post.Kiswahili ni lugha inayokua sana,na ndio maana waandaaji walimpa mtonyo,akafanye show.WANAMUZIKI WANGAPI HAWAIMBI KISWAHILI,NA WANAPENYA KATIKA SOKO LA MUZIKI?tatizo unakariri madesa.Kalale ukue!
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Diamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi