Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
kule You Tube kuna wezi wengi tuDiamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Kala 60,000 U$Haizuru kitu kishalamba milioni 100 na zakiganda ..
RookieLast Activity:Oct 7, 2017 at 8:14 PM
Joined:Today
Messages:2
..
Karibu JF..
asante Mkuu kwa kututafutia jibuLast Activity:Oct 7, 2017 at 8:14 PM
Joined:Today
Messages:2
..
Karibu JF..
So kwel bwana Waganda weng walishow luv kwa Diamond.. Na kama wangekuwa hawamkubali wasingeingia kweny shoo yakeDiamond Azomewa na wana Uganda katika Show yake Wamwambia Arudi Tanzania Hatukuelewi
Aaaah uyu dada alifanya balaa kubwa sanaAnaejua kiganda tafadhari naomba anitafsirie hapa
Ni zari ,zari ,zari 2017Mbona Akina kofee Olomide,Fari wanakuja wanaimba kikongo tunafurahia tu shoo!
Hii imekaaje sijaelewa kabisa.
Huyu naona anataka kupandikiza chuki pasi kuweka ushahidi. Binafsi nilitarajia kuwepo na video zinazonyesha kuzomewa lakini katika hiyo clip hakuna huo ushuhuda.walifuata nini kwenye shoo kama walijua hawaelew kiswahil mbona walifurika