Diamond azungumzia kuhusu tatizo la Wema kutopata mtoto

Diamond azungumzia kuhusu tatizo la Wema kutopata mtoto

Mpwa, kwanini huamini? Usisahau mpwa kwamba wanadamu maono hatuyapati wote kwa pamoja! Wakati mabilioni ya watu wanaamini Yesu ni Mungu na hilo kuhubiriwa kwa zaidi ya miaka 2000 sasa, bado kuna wengine hawajaamini kwamba Yesu ni Mungu kwahiyo usishangae mimi kupata maono sasa! Chambilecho, kwanini alitudanganya na bado anaendelea kutudanganya kwamba mimba ni yake wakati ni ya Katunzi??!! Kuhusu akina Kiba, si unajua King sio mtu wa show off kwahiyo hawezi kufanya mambo kama hayo! King huwezi kumsikia hata suala la kwamba anamiliki hiki au kile kwa kuwa kufanya hivyo itakuwa ni kuwananga mashabiki weke masikini... kwahiyo asingeweza kusema kwamba kapiga mimba huku mara kule na kuwananga mashabiki wake wasio na uwezo wa kupiga au kushika mimba! Pia usisahau mpwa, King mstaarabu, King sio Kicheche kama huyu mwehu mgumba kwahiyo mimi nina uhakika hata wale watoto wanamsingizia tu lakini kv hapendi kuwaadhi mashabiki wake, ndo hivyo tena kamua tu kukubali lakini King hawezi kuzaa watoto watatu nje ya ndoa na mama watatu tofauti, NEVE EVER! Na hapa ndipo utaamini ule msemo, Mungu sio warumi, manake huyu malaya Diamond ingekuwa ndo kapewa uwezo wa kupiga mimba, hici sasa tayar ingekuwa ana timu ya basketball kama sio ya soka kabisa huku kila mchezaji akiwa na mama yake! Mungu anayaweza wewe, usifanye masihara mpwa.

....ili jambo linaweza likawa ni la kweli....ebu tungoje ngoje
 
Last edited by a moderator:
Mpwa, kwanini huamini? Usisahau mpwa kwamba wanadamu maono hatuyapati wote kwa pamoja! Wakati mabilioni ya watu wanaamini Yesu ni Mungu na hilo kuhubiriwa kwa zaidi ya miaka 2000 sasa, bado kuna wengine hawajaamini kwamba Yesu ni Mungu kwahiyo usishangae mimi kupata maono sasa! Chambilecho, kwanini alitudanganya na bado anaendelea kutudanganya kwamba mimba ni yake wakati ni ya Katunzi??!! Kuhusu akina Kiba, si unajua King sio mtu wa show off kwahiyo hawezi kufanya mambo kama hayo! King huwezi kumsikia hata suala la kwamba anamiliki hiki au kile kwa kuwa kufanya hivyo itakuwa ni kuwananga mashabiki weke masikini... kwahiyo asingeweza kusema kwamba kapiga mimba huku mara kule na kuwananga mashabiki wake wasio na uwezo wa kupiga au kushika mimba! Pia usisahau mpwa, King mstaarabu, King sio Kicheche kama huyu mwehu mgumba kwahiyo mimi nina uhakika hata wale watoto wanamsingizia tu lakini kv hapendi kuwaadhi mashabiki wake, ndo hivyo tena kamua tu kukubali lakini King hawezi kuzaa watoto watatu nje ya ndoa na mama watatu tofauti, NEVE EVER! Na hapa ndipo utaamini ule msemo, Mungu sio warumi, manake huyu malaya Diamond ingekuwa ndo kapewa uwezo wa kupiga mimba, hici sasa tayar ingekuwa ana timu ya basketball kama sio ya soka kabisa huku kila mchezaji akiwa na mama yake! Mungu anayaweza wewe, usifanye masihara mpwa.

Ahahahahahahahaha!!!!mbavu zangu leooo!!
 
Last edited by a moderator:
mi nafurahi tu mpwa wangu leo bwanah!nimekula chakula kizuri leo basi burudani tu hapa nashushia maji!!
anhaaa! basi sawa mpwa manake nilidhani unafurahia kusikia mwenzako mgumba kwahiyo hadi asaidiwe na akina Katunzi ndo aanze kujishembundua wakati kila kitu kipo wazi...
 
Amepewa na Katunzi na kama unabisha, muulize warumi!

Kapewa ulikuwepo? Si useme tarehe na mwezi na mwaka bila kusahau saa waliodu kitendo...

Sema na facts kuwa ilikuwa hivi na hivi na niliona sio kutunga.

Huyo katunzi mwenyewe hamumusemi hata full name hamshuki...

Mmmh
 
Last edited by a moderator:
Kwa penny nae ivi ivi alisema alimnunulia brevis ya kwendea clinic wakat peny alikanusha hajawahi kupewa mimba na diamond, mmh kizungu zungu

Sasa mtu akikanusha haimaanishi hakwenda
Maneno hayana nguvu labda kama ana jingine la kusema...
 
Mbona wema alisema hajawai kupata mimba ya mwanaume yyte au alikuwa anadanganya

Yes alikuwa anadanganya sababu juzi kaongea redioni alitoa ya kanumba so alipataga hiyo na zingine hakuzisema....uongo mwingine wanajisahau...
 
Kapewa ulikuwepo? Si useme tarehe na mwezi na mwaka bila kusahau saa waliodu kitendo...

Sema na facts kuwa ilikuwa hivi na hivi na niliona sio kutunga.

Huyo katunzi mwenyewe hamumusemi hata full name hamshuki...

Mmmh
Mpwa warumi, hivi si ilikuwa mwaka 2014 Spetmber 14, saa nne asubuhi vile; au? Afu jina la kwanza la Katunzi nani vile?
 
Last edited by a moderator:
Yaan wew ni mwendawazimu kabisa tena shika adabu ukiniona pita mbali bi*t*ch

Aaagh najua bado unaumia ukiona D anazungumziwa basi unapata chance ya kuandika mihasira yako lazima alikufanyia kitu ambacho unaumia roho hadi leo

Sijawahi kuona fan anafurahia kuona msanii anaongelewa vibaya bila sababu maandishi ya hasira...

Ona hadi unanitukana eeehhh limekurudi wewe ndio biachi ulijuaje mie niko hivyo kama wewe sio

Andika maneno yako vizuri ukitaka usomeke kivingine...

Roho inakuungua mtotobwa Tandale anakukimbizaaaaaaaaaaaa
 
Aaagh najua bado unaumia ukiona D anazungumziwa basi unapata chance ya kuandika mihasira yako lazima alikufanyia kitu ambacho unaumia roho hadi leo

Sijawahi kuona fan anafurahia kuona msanii anaongelewa vibaya bila sababu maandishi ya hasira...

Ona hadi unanitukana eeehhh limekurudi wewe ndio biachi ulijuaje mie niko hivyo kama wewe sio

Andika maneno yako vizuri ukitaka usomeke kivingine...

Roho inakuungua mtotobwa Tandale anakukimbizaaaaaaaaaaaa

Stage ulioruka kwenye ukuaji wako itaku gharimu sana.....yaani sijaona mtu humu ndani mjinga kama wewe kwa kweli.....baki na ujinga wako.
 
kuna tofauti kati ya mgumba na tasa nadiriki kuandika Wema huko kote hayupo labda kama alitolewa kizazi, kuna wanandoa wamekaa zaidi ya miaka kumi kuja kupata mtoto sembuse yeye hata 30 yrs hajafikisha
hakuna kitu kibaya kama kukopy maisha ya mtu binafsi ili ukidhi matakwa ya ulimwengu
 
Aaagh najua bado unaumia ukiona D anazungumziwa basi unapata chance ya kuandika mihasira yako lazima alikufanyia kitu ambacho unaumia roho hadi leo

Sijawahi kuona fan anafurahia kuona msanii anaongelewa vibaya bila sababu maandishi ya hasira...

Ona hadi unanitukana eeehhh limekurudi wewe ndio biachi ulijuaje mie niko hivyo kama wewe sio

Andika maneno yako vizuri ukitaka usomeke kivingine...

Roho inakuungua mtotobwa Tandale anakukimbizaaaaaaaaaaaa
Bora mtu akose mali kuliko akakosa akili kama wew pu*nguani....eti naumia roho nyoooooo muone vile kwamba wewe ni mke mdogo wake au? Maana kinakukuuuuuunaaaa na akati ata hakujuii.... acha kufata mikumbo ya ajabu ajabu kwenye ukweli lazma aambiwe ili aepukike na ujinga ulio nao wew.
UTAKUFA UKIWA UNAIGA SWAGA MJINI WEWE USIFANYE KAZI KAA UKIMTETEA DAIMOND HUKU......heheheiyaaaaaaa na bado hayo ni manyunyu kama vipi kaogelee kwenye acid
 
Back
Top Bottom