Hizi habari zingeanzia Tanzania tungesema jamaa kama kawaida yake anatengeneza kiki, kumbe ukweli ni kwamba, asilimia kubwa ya yale yanayosemwa kwamba jamaa anatengeneza kiki; huwa yanatengenezwa na watu wenyewe!!
NewsDaily-TV wameripoti eti Diamond ameaga dunia kwa ajali ya gari! Huko Twitter, kuna wengine (Sio Watanzania) wanaapiza kabisa:
Jamaa kuonesha hasemi uongo, akaamua kuambatanisha na Google Search Results:
Ingawaje kuna wachangiaji wanakanusha, kuna wengine ni kama wanaamini na hawaamini...
Hizo ni baadhi tu ya Tweets!! Na wengi hapo ni Waghana ambao kule kwao bado ni asubuhi!!! Kwahiyo wameamka na uchuro!!!
NewsDaily-TV wameripoti eti Diamond ameaga dunia kwa ajali ya gari! Huko Twitter, kuna wengine (Sio Watanzania) wanaapiza kabisa:
Jamaa kuonesha hasemi uongo, akaamua kuambatanisha na Google Search Results:
Ingawaje kuna wachangiaji wanakanusha, kuna wengine ni kama wanaamini na hawaamini...
Hizo ni baadhi tu ya Tweets!! Na wengi hapo ni Waghana ambao kule kwao bado ni asubuhi!!! Kwahiyo wameamka na uchuro!!!