Kiufupi fid ni kubwa jinga yule jamaa anatabia za kike kabisa, muoga kupita maelezo so suala la kutokuwa na gari nk na kwenye game tupo mda mrefu inaweza kuwa kweli sababu wanaume wenye michongo ya maana fid wanamjua ana misimamo ya kiume kwenye kuimba mashairi ila kwenye vitendo Hanna mtu pale anatabia za kichoko choko tu.
Mtumeee walahiHawa mafala ngada ndio imewabeba wakatae ..tutoe mpaka majina ya watu wanaowapelekea Italy
Hawa mafala ngada ndio imewabeba wakatae ..tutoe mpaka majina ya watu wanaowapelekea Italy
Kwan wasafi wanalipa milion ngapi kwa show?Fid Q ni miongoni mwa wasanii wakubwa Tanzania wasioitambua thamani yao.
Wangelitumia hili tamasha la Wasafi kutengeneza pesa ndefu sana.
Hiki ki Diamond kimewazidi akili.
Nunua sabuni utoe upeleπππππππ dongo gumu sana hiliHiyo hashitagi ya nunua sabuni utoe upele ni kwikwi.
The end justifies the means.... They are already somebodies among the people....Hawa mafala ngada ndio imewabeba wakatae ..tutoe mpaka majina ya watu wanaowapelekea Italy
Kwa mguu madai ni mgumuhivi hana Ndinga ana roll vp hapa town kwenye mainterview
Ila Dongo linaumiza sana maana lipo nje ya uwezo wako maana fid q sura ngumu nzito kitambo kutokana na ngozi yake kuwa na mabonde mabonde magumu magumu.Nunua sabuni utoe upeleπππππππ dongo gumu sana hili
Kwan wasafi wanalipa milion ngapi kwa show?
Huwa wanabeba kwenye Mabegi au?...[emoji53]Hawa jamaa hilo linawezekana linaukweli mna safari kila siku show zingine watu hawajai
Mkopo kama Mkopo au?....Gari???? Zipo hata za mkopo
Kua na gari ndo inamaanisha nn sasa?
Inamaana mpaka Leo..kubanda anatumia bajaj?????