lukesam
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 12,661
- 26,457
Kiufupi fid ni kubwa jinga yule jamaa anatabia za kike kabisa, muoga kupita maelezo so suala la kutokuwa na gari nk na kwenye game tupo mda mrefu inaweza kuwa kweli sababu wanaume wenye michongo ya maana fid wanamjua ana misimamo ya kiume kwenye kuimba mashairi ila kwenye vitendo Hanna mtu pale anatabia za kichoko choko tu.
Fid Q ni miongoni mwa wasanii wakubwa Tanzania wasioitambua thamani yao.
Wangelitumia hili tamasha la Wasafi kutengeneza pesa ndefu sana.
Hiki ki Diamond kimewazidi akili.
Wangelitumia hili tamasha la Wasafi kutengeneza pesa ndefu sana.
Hiki ki Diamond kimewazidi akili.