Diamond ,babu tale wampiga dongo baya fid q

Diamond ,babu tale wampiga dongo baya fid q

Alisha wahi kumwambia Nikki mbishi hana nidhani.

"Leta kiburi uchinjwe watu wale kichuri...//

Fidq akiwitness ninavyopata sifuri...//"

Huo Ni mstari wa Nikki mbishi kwenye Ngoma Moja ya kanda maalum [emoji867][emoji867]

Nikki mbishi alimmaindi sana na alisikika kwenye interview Moja akisema.

"Yeye nan mpaka aseme mimi Sina nidham??? Hawezi kuniambia maneno kama hayo hata baba angu hajawahi kuniambia"[emoji116]

Nikki mbishi baba Malcolm

Mimi Fid Q ni mshabiki wake lakini kuwatukana Wasafi ni mafala ilikuwa jambo la kijinga sana tena sana na isitoshe wasafi karibu wote huwa wanamkubali sana Fid q sana tena sana,,,,,,
Fid q amefanya jambo la kijinga sana tena sana na mimi naamini Clouds hawakumtuma bali ni shobo zake tuuu yeye mwenyewe kutukana watu...
Fid q alitakiwa kutumia akili ili apige hela kote kote...mbona wasanii wenzie hawajatukana mtu?
Fid q amedhihirisha ni mjinga....
 
Mtuwekee na hilo tangazo la fiesta tulisikie tafadhari.
 
Wakati wanashirikiana na Dai kumtukana Kiba watu walifurahi, leo mambo yamegeuka.... Ngoja nishike jembe nikalime.
 
Iyo video iko wapi nme itafta bila mafanikio
Mimi Fid Q ni mshabiki wake lakini kuwatukana Wasafi ni mafala ilikuwa jambo la kijinga sana tena sana na isitoshe wasafi karibu wote huwa wanamkubali sana Fid q sana tena sana,,,,,,
Fid q amefanya jambo la kijinga sana tena sana na mimi naamini Clouds hawakumtuma bali ni shobo zake tuuu yeye mwenyewe kutukana watu...
Fid q alitakiwa kutumia akili ili apige hela kote kote...mbona wasanii wenzie hawajatukana mtu?
Fid q amedhihirisha ni mjinga....
 
Fid Q siku hizi namuona kama kubwa jinga flani hivi. Mashairi yake hayaendani na maisha yake.
 
FID KUNA SIKU NILIKUTANANAE MSASANI ANAENDESHA CARINA IMECHOKA HIYO NKAWA NA WAZA HV HUYU MSANII KWELI
 
Mimi Fid Q ni mshabiki wake lakini kuwatukana Wasafi ni mafala ilikuwa jambo la kijinga sana tena sana na isitoshe wasafi karibu wote huwa wanamkubali sana Fid q sana tena sana,,,,,,
Fid q amefanya jambo la kijinga sana tena sana na mimi naamini Clouds hawakumtuma bali ni shobo zake tuuu yeye mwenyewe kutukana watu...
Fid q alitakiwa kutumia akili ili apige hela kote kote...mbona wasanii wenzie hawajatukana mtu?
Fid q amedhihirisha ni mjinga....
Fd alisemaje?
 
Fid q for life,.. wavaa vikuku jasho la matako limewatoka wamepoteana huku.
 
Mimi Fid Q ni mshabiki wake lakini kuwatukana Wasafi ni mafala ilikuwa jambo la kijinga sana tena sana na isitoshe wasafi karibu wote huwa wanamkubali sana Fid q sana tena sana,,,,,,
Fid q amefanya jambo la kijinga sana tena sana na mimi naamini Clouds hawakumtuma bali ni shobo zake tuuu yeye mwenyewe kutukana watu...
Fid q alitakiwa kutumia akili ili apige hela kote kote...mbona wasanii wenzie hawajatukana mtu?
Fid q amedhihirisha ni mjinga....
fid kazingua sana,hapa ilikuwa ni vita ya clouds vs wasafi empires ambazo fid q sio sehem ya upande wwte,alishindwa nn kubaki neutral???kaharibu sana tena sana,wasafi walikuwa wanamkubali na kumsupport sana,alichokifanya ni sahihi kama ana hisa pale clouds,vinginevyo ni umama,ushoga,ushangazi,udada,ubikra,uajuza na ufala sana kushadadia wanaume kwny vita isiyomhusu, labda kama ni mama luge
 
Back
Top Bottom