Diamond badilika hiyo sio tabia nzuri

Diamond badilika hiyo sio tabia nzuri

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Gwiji la mziki Tanzania na Afrika kwa ujumla amedevelop tabia ambayo sio nzuri kwa mstakabali wa nchi yetu na hasa kwa wasanii wanaochipukia.

Katika kipindi cha mwezi mmoja na kitu msanii huyu amechukua tuzo kadhaa lkn cha ajabu hamna hata siku moja ameenda ikulu kumuonesha rais na kupata nae chakula cha jioni tofauti na hapo mwanzo, hii inawakatisha sana moyo vijana wanaoshinda studio ili waje kuwa kama wewe.

Jitahidi kila unapopata tuzo moja au mbili uwe unadrop mjengoni unapiga selfie na mkuu ili kumotivate kitaa.
 
Hahahaaa!dah..mapadlocks atamfrumusha vibaya.,yule msukusu ni noma!
 
Km huna cha kupost kaa kimya,,,we unadhani majukum ya rais ni kujiselfieee ilihali wananch wanakufa njaaa???
 
Mwambie azipeleke Msoga akamuonyeshe msanii mwenzake ikulu sasaiv kuna rais anaejitambua hakuna msanii pale.Mzee wa msoga alipafanya ikulu kama ukumbi wa disco alidhani ni Diamond jubelee alikozoea kwenda kipindi akiwa kijana.
 
5.jpg
5.jpg
 
Wasafi unawasafisha.Maana walikua wachaf.....Mpaka akina mchekechu.
 
Last edited by a moderator:
Acha ku post utumbo! aende ikulu kwa nani? we unafikir ikulu ya sasa inaingilika kama ile ya rais wenu wa awamu iliyopita?
 
Back
Top Bottom