Diamond: Bora nife kuliko kumrudia Wema

wema anasema kishampata le nigga...sijui nani huyo warumi wamjua???

Kampata kwani kuna muda wowote huwa anapumzika japo mwezi?? Kilichomtoa kwa dai ni mulume.Asituletee uongo wake hapa
 
Ushuzi mtupu!!Kwani nani amemuomba arudiane nae? Mbali ya kuwa msanii ye nae ni mvulana tu ka wavulana wengine so asijione special saaaaaanaa!!!Ana nini cha mno labda? Mfyuuuuu zake!! ( kwa melody sound ya Dinazarde) lol
 
Last edited by a moderator:
Endless fame, movies, nasikia ana fungua boutique, na biashara ya nguo eti.
Pia lipstick on its way.
Simfagilii ila kazi sio lazima uamke saa kumi na moja uende ofisini.

Kwanza kazi za kuamka saa 11 ni utumwa... Ila kiukweli matumizi ya Wema na kipato chake haviendani hata robo... Hasa watu wa aina hiyo ndiyo wakuwatilia mashaka
 
So mtu ukitaka bwana ndio unatangaza uwiii na juzi umetoka kulilia mtoto....vituko vya wasanii bongo haviishi.

Akubali asikubali D anamkimbiza.

Si angasubiri ma paparazi wampige picha uwiiii nimechekaje leo wema kweli abadilike

Akiwa nae kweli lazima baba huruma au kaka huruma kaibgia nae contract kufuta aliyoandika...
 

Koh!!...Koh!!!...
 
Kampata kwani kuna muda wowote huwa anapumzika japo mwezi?? Kilichomtoa kwa dai ni mulume.Asituletee uongo wake hapa

Unataka kusema papuchi ya wema inabanduliwa kila siku ya Kyala?
 

hahaaaaaaaaa huyo Diamond aende huko... ngoja aendelee kulea mimba ya Katunzi

wema mwenyewe hana mpango nae
 
Afe kama kufa kwan katakwa naye mswahil huyu kaka ka.mwanamke au ndo kazaliwa salun tena ya uswailin mwanaume ovyoooo
 

Inaonekana X zako wanapiga sana hapo😳
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…