Duh eti mawingu wanamshindwa Diamond??inawezekana vipi kinyago walichokichonga wenyewe leo kiwatishe?
Spidi ya jeneza wanachagua waliolibeba sio maiti mkuu....!
Duh eti mawingu wanamshindwa Diamond??inawezekana vipi kinyago walichokichonga wenyewe leo kiwatishe?
Spidi ya jeneza wanachagua waliolibeba sio maiti mkuu....!
Haaaaaaahaaa eti disrespect...ivi kuna watu wangapi wana kipaji zaidi ya Almasi?hii industry ni zaidi ya kipaji kuna watu wako nyuma ya huu muziki wanaamua nini kitokee naomba nishawishi kua Almasi kwa Bongo ndio pekee anajua kuliko wenzie,mkuu kubali ukatae ila jua Clouds wale watu ndio wanasukuma jahazi la muzic industry..."
sio kweli man, wao ni wajanja wa kudandia pale kwenye mafanikio. kila mtu ana zali lake. mbona Barnaba ni talented haswa wameshindwa kumpaisha!?
Kwa mara ya kwanza ndio nasikia hii makitu kutoka kwako mkuu!!
Komesho raits kama zipi labda kiongozi hebu fafanua kidogo hapa!!
Hujui maana ya commercy rights?
Google is ur friend
- Ungefanya utafiiti kwanza nani ni the real manager wa Diamond anayempangia hizo safari na show zake zote, usingesema haya mkuu kama hujui si unauliza kwanza kwa wanaojua wakusaidie kuliko kuzusha uzushi uso na kichwa wala miguu!!
- For sure you have absolutely no clue na kinachoendelea na division of labor ya hizi fiesta sio kazi ya Clouds kuwapandisha Wasanii majukwaani kwenye Fiesta Tour ni kazi ya Serengeti jamana si muulize kwanza kabla hamajapayuka payuka na uzushi wa klijinga kama huu
Le Mutuz
Alisahau kuwa Diamond alifanya Fiesta ya Mwanza. Isitoshe, Prime Time wamefanikiwa kuifanya Fiesta kusimama yenyewe bila kutegemea mwanamuziki yupi yuko juu. Mashabiki wameiamini, wanaifuata tu Fiesta iliko, ndio maana wanajaza watu kila wanakokwenda.
Ova
Duh eti mawingu wanamshindwa Diamond??inawezekana vipi kinyago walichokichonga wenyewe leo kiwatishe?
Spidi ya jeneza wanachagua waliolibeba sio maiti mkuu....!
Alisahau kuwa Diamond alifanya Fiesta ya Mwanza. Isitoshe, Prime Time wamefanikiwa kuifanya Fiesta kusimama yenyewe bila kutegemea mwanamuziki yupi yuko juu. Mashabiki wameiamini, wanaifuata tu Fiesta iliko, ndio maana wanajaza watu kila wanakokwenda.
Ova
Duh eti mawingu wanamshindwa Diamond??inawezekana vipi kinyago walichokichonga wenyewe leo kiwatishe?
Spidi ya jeneza wanachagua waliolibeba sio maiti mkuu....!
Kwahiyo timu za basketball za kibongo zinaweza kumlipa Hashim thabit kwasababu alitokea bongo.
Poor argument
hii ni disrespect kwa Diamond. unataka kusema kipaji wamempa wao!? huu ni upuuzi na ukosefu wa nidhamu kwa mtu anayetumia nguvu na akili yake kufanya kazi nzuri. hao unaowasema ndio wanamtungia nyimbo au kuproduce nyimbo zake?
- Kuna thread unatafutwa kwa UDI NA UVUMBA. Ni kuhusu INSTAGRAM!
Wamarekani wanausemi wao unasema" we made u" career inatengenezwa kaka haiji tu hivihivi...