Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,483
Hakuna mfanyakazi anae lipa kodi kihalali nchi hii. Hivyo ukipitishwa kwenye mbano na TRA unatakiwa kuacha kulia lia na kupambana na hali halisi.
Watu wanao lipa kodi kihalali ni Wafanyakazi tu maana wao hawana kwa kukwepea.
Lipa kodi kwa maendeleo ya Nchi.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Watu wanao lipa kodi kihalali ni Wafanyakazi tu maana wao hawana kwa kukwepea.
Lipa kodi kwa maendeleo ya Nchi.
Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app