johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ameongea kitaalamu sana na wabobezi wa maswala ya Biashara wamemuelewahuyu msanii wenu wa flash disk ana uwezo duni wa kufikiri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameongea kitaalamu sana na wabobezi wa maswala ya Biashara wamemuelewahuyu msanii wenu wa flash disk ana uwezo duni wa kufikiri.
Nadhani baba levo ndiyo mshauri wake wa maswala ya biashara.Ameongea kitaalamu sana na wabobezi wa maswala ya Biashara wamemuelewa
Tulimpoteza mwekezaji pale Billicanas kwa mambo yenye Utata kama hayaNadhani baba levo ndiyo mshauri wake wa maswala ya biashara.
Alidhani lile likofia la kijani alilopewa na mwendapombe litamsaidia kukwepa kodi.Tulimpoteza mwekezaji pale Billicanas kwa mambo yenye Utata kama haya
Huyu Dogo amejitambua mapema na kujisalimisha kwa Wananchi
Imeshamsaidia!Alidhani lile likofia la kijani alilopewa na mwendapombe litamsaidia kukwepa kodi.
Sasa hao maadui na TRA, wapi na wapi! Na hao wapinzani/maadui zake ni akina nani, kiasi cha kuitumia taasisi ya serikali kama TRA kumhujumu?Ulitaka aseme maadui? Ye kapunguza ukali wa maneno.
Inamsaidia kwenye show za kampeni ila kwenye kodi lazima alipe na tayari juzi wamempekechua million 700.Imeshamsaidia!
Huyu pimbi wa Tandale chupi mkononi huwa ni pointless kinyama yani!! Aah! Inasikitisha eti na yeye ni idol wa Tanzania 🇹🇿Sasa hao maadui na TRA, wapi na wapi! Na hao wapinzani/maadui zake ni akina nani, kiasi cha kuitumia taasisi ya serikali kama TRA kumhujumu?
Lazima unasema wewe Bwashee?!Inamsaidia kwenye show za kampeni ila kwenye kodi lazima alipe na tayari juzi wamempekechua million 700.
Ni KICHAA tu kama wewe ndio unaweza kuhisi kuwa TRA inatumiwa na WAPINZANIMkurugenzi wa WASAFI mh Nassib Abdul aka Diamond Platnumz amewataka TRA kutenda Haki kwani Yeye hajawahi kukwepa kodi ila mara nyingi amewaonyesha TRA vyanzo vya Mapato ya Kazi za Sanaa ambavyo hawakuvijua awali
Diamond amesema Yeye ni mtu wa " Misifa na Maujiko" hivyo hawezi kukwepa kodi kwa sababu atashindwa kupost Utajiri wake mitandao I
Mh Diamond Platnumz amesema hakukuwa na ulazima wowote Staff wa TRA kuvamia ofisini kwake kwani mara zote wanapomuhitaji amekuwa akienda ofisini kwao bila kukosa
Diamond amesema Watu wanaweza kuhisi TRA inatumiwa na Wapinzani
Ameisha kivipi?Ameshaisha huyo zama zake zimepita,,,katumika sasa hivi ni muda wa kumtelekeza
Sasa mkuu kama diamond unasema ameisha hao wasanii wengine watakuaje?Pande zote kama samaki
Mchane kwa sauti ya juu zaidi🔊Ni KICHAA tu kama wewe ndio unaweza kuhisi kuwa TRA inatumiwa na WAPINZANI
Hichi kishoga kiache kutafuta sifa. Ana pesa gani ya kuonewa wivu na wawekezaji wa kweli? Kuwekeza kwenye kuharibu na kubomoa maadili yetu?Mkurugenzi wa WASAFI mh Nassib Abdul aka Diamond Platnumz amewataka TRA kutenda Haki kwani Yeye hajawahi kukwepa kodi ila mara nyingi amewaonyesha TRA vyanzo vya Mapato ya Kazi za Sanaa ambavyo hawakuvijua awali
Diamond amesema Yeye ni mtu wa " Misifa na Maujiko" hivyo hawezi kukwepa kodi kwa sababu atashindwa kupost Utajiri wake mitandao I
Mh Diamond Platnumz amesema hakukuwa na ulazima wowote Staff wa TRA kuvamia ofisini kwake kwani mara zote wanapomuhitaji amekuwa akienda ofisini kwao bila kukosa
Diamond amesema Watu wanaweza kuhisi TRA inatumiwa na Wapinzani
Hawa wakata mauno tabu sanaMods unganisha huu uzi wa mnenguaji wa tandale tumechoka sasa
Alipe kodi hyo mkata mauno na mhamasisha ushogaAmeongea kitaalamu sana na wabobezi wa maswala ya Biashara wamemuelewa
Mwekezaj wa kuhamasisha ushogaTulimpoteza mwekezaji pale Billicanas kwa mambo yenye Utata kama haya
Huyu Dogo amejitambua mapema na kujisalimisha kwa Wananchi
Waataalam wake wengine ni kina shg aggreyResoining capacity ya diamond imejidhihiri kuwa ni ndogo mnoo kupitia hili swala lake la kukwepa kodi na anavyojaribu kulijengea hoja za kiswahili-swahili.(tatizo ni shule)
Anyway, huyu dogo mpeni ushauri mshahara anaolipa chawa kumsifia amege kidogo atoe ajira kwa wataalam wa maswala ya kodi wamfanyie hizo kazi.
Kuwa na adabuHapo kwa wapinzani aweke wamakonde
Aache kutafuta huruma ya wa TZ.. Lipa kodiMkurugenzi wa WASAFI mh Nassib Abdul aka Diamond Platnumz amewataka TRA kutenda Haki kwani Yeye hajawahi kukwepa kodi ila mara nyingi amewaonyesha TRA vyanzo vya Mapato ya Kazi za Sanaa ambavyo hawakuvijua awali
Diamond amesema Yeye ni mtu wa " Misifa na Maujiko" hivyo hawezi kukwepa kodi kwa sababu atashindwa kupost Utajiri wake mitandao I
Mh Diamond Platnumz amesema hakukuwa na ulazima wowote Staff wa TRA kuvamia ofisini kwake kwani mara zote wanapomuhitaji amekuwa akienda ofisini kwao bila kukosa
Diamond amesema Watu wanaweza kuhisi TRA inatumiwa na Wapinzani