Diamond enough is enough plagiarism is not legalised

Diamond enough is enough plagiarism is not legalised

kupata viewers wengi huko youtube au kujaza watu huko kigoma sio kigezo cha kupata pesa mjomba elewa ilo usidanganywe endorsement ndo kila kitu wakina wizkid wanaingiza mtonyo mrefu kupitia starboy label wizkid alilipwa pesa ndefu na kampuni ya nike kutumia jina hilo kwenye brand zake we haujiulizi kwanini isiwe diamond tangia apatage ile kampuni ya vinywaji berare mpaka leo hajapata dili la maana
Mimi sijasema sehem yoyote viwers ni pesa

Hizo show unazo diss sio pesa ,ni kitu gan? ,we anajua hizo endorsement unazosema sio zamaana analipwa sh ngap?
Mkuu ww umeshapga endorsement ngapi mpaka saiz? [emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
“Nyimbo zote zimetayarishwa na mtayarishaji mmoja aitwaye Kelpvibe, ndiyo maana katika hizo nyimbo anatajwa mwanzoni kabisa“

Gazeti la Mwananchi

Huyu jamaa amekuwa bingwa wa kucopy works of others (Artists) without agreements between both sides.

Kisheria hilo ni kosa na kiubinadamu lina mshushia kabisa credibility yake
kwa watu tuliokuwa tunamuheshimu.

Why always him kuanzia nyimbo aliyofanya na jamaa wa Zimbabwe sijui THE ONE na nyingine nyingi.

Kama anataka scholar's tumuelewe he is supposed to put citations and references where the work originated na sio kufanya plagiarism.

VIDEO YA LEO YA JEJE HE COPIED AND PASTED SOMEWHERE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kupata viewers wengi huko youtube au kujaza watu huko kigoma sio kigezo cha kupata pesa mjomba elewa ilo usidanganywe endorsement ndo kila kitu wakina wizkid wanaingiza mtonyo mrefu kupitia starboy label wizkid alilipwa pesa ndefu na kampuni ya nike kutumia jina hilo kwenye brand zake we haujiulizi kwanini isiwe diamond tangia apatage ile kampuni ya vinywaji berare mpaka leo hajapata dili la maana
Kwani tanzania ina diamond [emoji881] peke ake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa mbunifu sana, naona watu wamegeuka kuwa wachunguzaji wa kila anapotoa video ilimradi wapate kasoro ya kucopy paste, nae naona ndo hapa hapa kwa kukazia
 
kweli wabongo ujinga bado unatutesa..
eti amezidi kukopi, je ameshashtakiwa mara ngapi.. pia hiyo ngoma ukiisikia kwa kuweka mihemko na chuki pembeni utagundua kuwa haiendani kabisa na hizo mmasosema kakopi. sema tu ni kwamba producer ni mmoja , hivyo ni lazima baadhi ya vionjo viendane.

kama unabisha we fuatilia nyimbo zilizoandaliwa na yule producer wa nigeria anaitwa sijui KRIZBEAT- ndio utaona jinsi biti zake zinamfanano. hata hapa bongo ngoma kibao tu biti zinafanana. sema tu nyie roho mbaya mnaopiga ramli tokea mwaka 2012 kuwa mond kaishiwa ndio kila akitoa ngoma hamkosi kukitesa mioyo kwa kuiponda.. kibaya zaidi diamond mmeshakosa wa kumfananisha nae hapa bongo, mmebaki mnatapatapa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu elewa ilo end

Mkuu bado nakwambia endorsement ndo kila kitu kwa msanii hivi vitu vingine wanavyoshoboka navyo wabongo ni kujifurahisha tu tena endorsement za maana sio sijui pepsi au voda ambao wanalipa sio juu ya mil 500 sasa kwa diamond si bajeti ya kulala hotelini
Labda haufuatilii lakini wenzetu wanaija wanapata deal za maana kwanzia bilion na kuendelea pia wanaplatform za kuuzia nyimbo zao tofauti na sisi tunadowlod bure
Kingine nachokiona wasanii wetu wabongo wanapenda sifa tu nyimbo ndani ya masaa machache inafikisha mill 1 baada ya hapo video inaanza kwenda kama kawaida upata viewers halisj ndo mana hakuna nyimbo zenye viewers mil 100 bongo

Unaongelea pepsi? Pepsi hii inayolipa wacheza mpira maharufu kama kina messi, pogba, mo sarah nk. Unasema hawalipi bajet yao ndogo? Unaandikia miemko au unafikilia unachokiandika? Pepsi ni big brand kuliko hata iyo beraire cjui


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu elewa ilo end

Mkuu bado nakwambia endorsement ndo kila kitu kwa msanii hivi vitu vingine wanavyoshoboka navyo wabongo ni kujifurahisha tu tena endorsement za maana sio sijui pepsi au voda ambao wanalipa sio juu ya mil 500 sasa kwa diamond si bajeti ya kulala hotelini
Labda haufuatilii lakini wenzetu wanaija wanapata deal za maana kwanzia bilion na kuendelea pia wanaplatform za kuuzia nyimbo zao tofauti na sisi tunadowlod bure
Kingine nachokiona wasanii wetu wabongo wanapenda sifa tu nyimbo ndani ya masaa machache inafikisha mill 1 baada ya hapo video inaanza kwenda kama kawaida upata viewers halisj ndo mana hakuna nyimbo zenye viewers mil 100 bongo

Tufikishe viewers milioni 100 na tunatumia kiswahili na watanzania wenye smartphones hawazidi milioni 15(makadirio) na wasanii wengi wamebase soko la ndani afu unategemea wapate milion 100[emoji58][emoji58] unachoongea unafikilia au miemko tu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Falz-Jeje
Ricardo Banks Easy-Jeje
Limoblaze ft Asha Elia-Jeje
DJ Exclusive ft Wizkid-Jeje
Sista Afia ft Shatta Wale-Jeje

Kwenye kukopi jina inakuja inakataa. Hii Jeje inawezekana ni neno la lugha Fulani au jina maarufu katika jamii Fulani Africa magharibi huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom