Diamond haji kuandika mashairi kama haya tena

Kwa kweli lyrics ya ukimwona ni bora sijapata kuona hata nyimbo kwa ujumla haijawahi kunichosha masikio
Lyrics zingine kali zipo kwenye Wimbo wa nataka kulewa!
Diamond wa kipindi kile alikuwa Diamond kweli
Sasa naona kachanganya na Impurities za Platinumz lakni Jamaa ni mkali
 
yaani wasafi sijui huwa wanaimba upuuzi gani.harmonize katoa wimo mzuri ila nenda kwenye mashairi sasa upuuzi mtupu . africa tutabaki nyuma tu
Tatizo la mashairi ni la world wide cku izi wasanii wana base kwny melodi tu mziki umebadilika sio km zamani hata ukickiliza nyimbo za marekani za zamani na sasa utaona tofauti kuanzia RnB hadi Hip hop hamna kitu wamebaki wachache sana ambao bado wanatunga nyimbo za mashairi yakueleweka
 
Umeona sasa....

Nilikwambia we mbishi ila ujui unabisha nini alafu ukabisha.
 


Mkuu Diamond alitamka mwenyewe kuwa wameshamaliza tofauti zao na manecky. Pia alikiri kuwa manecky huwa anampatia sana kwenye nyimbo za kubembeleza na kuna vibao tayari ameshaandaa na manecky atavitoa hivi karibuni...
 
Kiufupi mimi sio shabiki wa diamond ila kwenye huu wimbo.... Diamond amesimama vilivyo... Yaani hakuna gepu la kufikiria kama diamond wa juzi amesimama na mtumzima.... Heshima kwako Diamond unajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…