Diamond hana washauri?

Kwa hili diamond hapana jaribu kuwa na utu.. Huyo baba yako akifa ndio utamkumbuka?

Una uhakika huyo ni baba yake kweli? Diamond ni mtu anaejitambua, anaelewa Diamond kaambiwa nini na mama yake kuhusu huyo mzee?
 
Mama kashamwambia Diamond huyo sio baba yake mzazi. Huu ndio ukweli .
 
mkuu umeenda nje sana ya mada,mzazi hakosei? kuna wazazi wanawabaka binti zao,je na wao hawakosei? sema mkuu umeongea mengi ya moyoni ambayo ni OP ndo tatzo.
mzazi hakosei...unamaanisha mzazi akupigie magoti akuombe msamaha..? angeamua kuwithdrow je...
 
Je alizaliwa ndani ya ndoa au nje ya ndoa....!?? Alimuhudumia kipindi cha malezi....???
Alizalia nje ya ndoa na mzazi wake wa kiume hajamhudumia kwa lolote alijua kumpa mimba huyo mama ndio akazaliwa Nasseb baada ya hapi hakuwa na msaada kwa lolote
 
Alizalia nje ya ndoa na mzazi wake wa kiume hajamhudumia kwa lolote alijua kumpa mimba huyo mama ndio akazaliwa Nasseb baada ya hapi hakuwa na msaada kwa lolote
Duh..! Umeongea kama Mama Nasseb kabisa.
 
Una uhakika huyo ni baba yake kweli? Diamond ni mtu anaejitambua, anaelewa Diamond kaambiwa nini na mama yake kuhusu huyo mzee?
Ni baba yake mbona wamefanana? Hata jina analotumia ni la huyo mzee
 
Umetoa Aya nyingi ili kuhalalisha Maelezo yko Je Umefatilia kujua Huyo mzee Diamond ni mtt wa ndoa au Alizini?
Kama ni mtt wa zinaa anahusikaje na Aya za mola?.. Mtt wa nje ya ndoa c ni mali ya Mama?
 
Mtu anaenda kwa daktari na mikamera!

Anaumwa kweli huyo?

Mtu anaenda kwa daktari na mikamera!

Anaumwa kweli huyo?



ahahahaha, haumwi huyo..halafu alijua diamond atakua hakui dizaini aliona huyu ni mtoto tu hata nikiwa nae karibu atanisaidiai nini...wazazi jamani hii iwe fundisho hasa wakina baba mnaotelekeza watoto sijui kwa nini mungu uwa nawabariki kwa kiasi kikubwa saa watoto waliotelekezwa na baba zao
 
Hivi huyu Baba Diamond alipo uza nyumba kariako kwanini alishindwa kupeleka hata Tsh kwa mama D ikasaidia malezi?
Huyu Baba acha anyooshwe ni mjinga sana.
Kwa hiyo unaunga mkono ubaya Kwa ubaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…