angedizzle
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 590
- 504
Uswahili hauwezi ishaaaa,watu wanaongeaa weeeee utadhani wanalipwa mshahara,Tanzania bila Uswahili haiendiii wengine wanajiita wasomi lakini waswahili, wanafiki,wachawiii,lakini mwisho wa siku wataongeaaa weee na watalalaaa
Wivu unatusumbua wabongo sanaaa yaan hata kwa kitu kidogo mtu anaumiaaa ndio ilivyo kwa Diamond, Ally kiba kapata kiki baada ya bifu na diamond na hiyo kuzomewaaa mbona kina Fetty waliandaa mazingira muda ule wanamsifia kiba na kusema team kiba mpooooo huo ni uchonganishiiii ,kiba alikuwepo toka zamanii kuzubaa kwake ndio kumemfanya hivyooo,Akichangamka atafika alipofika Diamond kama kuitwa kushindania tuzo, Diamond hawez kukata tamaaa,mi ningemshaurii asihudhurie hayo mafiesta yao kabisaaa afanye kama Lady jide alivyofanya basiii
(Nimeandika navyojisikia staki kubishana na mtu,toa maoni yako bila kubishana na kila mtu aandike anachojisikiaaa sio)
Alivyosema #TeamDiamond hukumsikia???