Kwanin yote haya yanakuja baada ya diamond kufunukwa show ya fiesta..
m nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekan kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING
#TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAENDLEO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye maendleo hapa TZ.!!
Kwanini hawakuwahi kumzomea MR.NICe.!?
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halaki,.??
Kama hamjajua watu wamechoshwa na vituko vya diamond nje ya mziki,refer to JUSTIN BEIBER..