Somji... acha fix bhana... hizo picha zipo kwenye mitandao mbalimbali... kama hajitangazi zimefikaje huko?Mkuu matumbo ,mafanikio sio kujitangaza..
Hii ni nyumba ya alikiba anaimalizia..
Hii ndo maana halisi ya mafanikio..
Na sio kusema tu una nyumba 10 wakt hatuzion..
Kwa lipi hasa? Hivi ni nani anayehitaji bilauri ya maji kati yangu na yule anayeonesha chuki bila sababu za msingi? Nimekuomba ile source... bado unatafuta, au?Ebu wakupatie bilauri la maji upumuwe maana issue ya Domo umeonesha rangi zako zote plus double face. Nakuletea na juice ya ndimu unywe.
Kwahyo watu walimzomea kwasababu ana x6.???
Jide na range lake amewah kuzomewa.??
Sisi ni watanganyika visingizio na visababu havikosekaniki pindi mambo yakienda alijojo.
Sishangai ila nawasangaa hawa watu ambao ni vibaraka wa diamond... Hapo wanahofia take home itapungua mana boss atalalama kuwa walikwepo wapi wakati anazomewa???? Duh Nouma sana nawaonea huruma jamani..... Na bado mana watu wanataka wafanye kamchezo wakimwona man dangote no Buuuuuuuuuu buuuuuuuu... Ata uku kwetu mbeya tunamtamani....
Kwanin yote haya yanakuja baada ya diamond kufunukwa show ya fiesta..
m nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekan kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAENDLEO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye maendleo hapa TZ.!!
Kwanini hawakuwahi kumzomea MR.NICe.!?
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halaki,.??
Kama hamjajua watu wamechoshwa na vituko vya diamond nje ya mziki,refer to JUSTIN BEIBER..
Hebu onesha post moja inayowataka mashabiki wa Kiba wamshabikie Diamond!!! Hilo moja, pili hebu angalia post za humu jamvini zimeletwa na nani hasa... zimeletwa na mashabiki wa Diamond au Ali Kiba ? Karibu post zote zimeletwa na mashabiki wa Kiba... swali linabaki, ikiwa Diamond ndio kazomewa na kwamba ameisha, sasa mnaweweseka nini kila dakika kuleta posts kuhusu Diamond badala ya post kuhusu Ali Kiba?Kwanin yote haya yanakuja baada ya diamond kufunukwa show ya fiesta..
m nadhan mmepungukiwa uelewa tu,kila msanii ana mashabiki wake,inawezekan kwenye fiesta mashabik weng walikuwa wa alikiba..au walimshangilia sana kwasabab walimmis sana kwenye jukwaa la fiesta tofaut na diamond ambaye kila mwaka yupo..
CHA MSING #TEAM_DIAMOND MUANGALIE NI WAPI MLITEREZA SIKU ILE NA KUJIPANGA UPYA KULIKO HII STYLE YA KUTAKA KULAZIMISHA MASHABIKI WAMSHABIKIE DIAMOND NA WASIPOFANYA HIVYO ETI WANA WIVU NA MAENDLEO YAKE,pathetic.!!!kwanin wasimzomee MBWANA SAMATA.???au kwa ujinga wenu mnadhani diamond ni kijana pekee maarufu mwenye maendleo hapa TZ.!!
Kwanini hawakuwahi kumzomea MR.NICe.!?
Nimesikitishwa na maneno ya management ya diamond kusema eti hao watu waliandaliwa,how on earth.!!!ina maana alikiba aliuziwa tiket zote kwa jumla ili watu waingie wamzomee chibu.!!acheni hzo,angezomewa ali ndo ingekuwa halaki,.??
Kama hamjajua watu wamechoshwa na vituko vya diamond nje ya mziki,refer to JUSTIN BEIBER..
Wakuu hawa vitimbakwiri wa Domo ndio wameingia shift ya usiku watakesha hapa jukwaa hili mwenye kazi mapema ni bora alale saa hizi aweze kuamka mapema, hawa waliotumwa na madam na visimu vyao vya Tecno niachieni mimi nitawakabali kama one Man Army.
Mkuu matumbo ,mafanikio sio kujitangaza..
Hii ni nyumba ya alikiba anaimalizia..
Hii ndo maana halisi ya mafanikio..
Na sio kusema tu una nyumba 10 wakt hatuzion..
Maajabu mengine ya haters wa Diamond haya hapa... hao wanaomegwa hawajalalamika unakuja kulalamika wewe.... eh!!!! Cha ajabu zaidi sijasikia Diamond kamega vitoto vya shule... sasa wakimegwa akina Wolper, Penny, Kidoti wewe kinakuuma nini? Yale yale... oh, anajitangazia kwamba amemtoa Davido... malalamika nyinyi wakati Davido mwenyewe hajalalamika!!!
Naona sasa umeamua kujitia umakonde.... uliiona nini ile post yangu kwamba napenda wanawake wa kimakonde... jitahidi hivyo hivyo, si ajabu nikaanza kukutamani na wewe.Pole weweeee!!!!! Buuuuuuuuu buuuuuuuuuu afu walisemaje tena????? Au ukusikia chacha na wewe nichimulie mbona Mimi chimulia wewe??? Ahaaaa wewe ukwenda ungeenda ungeona wewe akati aboss ako wewe anatamani lia Mimi mpaka Leo nimeshika zile sauti za buuuuuuu!! Buuuuuuuuuu!! Mimi ningezimia ningekua boss wako
Mtoto mzuri upo!?Inashangaza.............,
Naona sasa umeamua kujitia umakonde.... uliiona nini ile post yangu kwamba napenda wanawake wa kimakonde... jitahidi hivyo hivyo, si ajabu nikaanza kukutamani na wewe.
Mtoto mzuri upo!?
Ukirudi nitafute... haki ya mungu tena, nishaanza kukutamani manake nina kaugonjwa ka kupenda mademu wa kimakonde na wanawake wenye midomo kama wewe!Buuuuuuuuuuuuu!!!! Buuuuuuuuuu!! Aya nukuu na wewe chacha.... Mana kiswahili huelewi kimakonde nikakuleta katika mahaba niongeeee kinini????? Byeeeeeee mida ya kazi hii
I'm pleased kukuona manake ah! Hili jukwaa watu wamejawa nongwa sijapata kuona... mara watasema hili, baadae wanasema lile, ukiwaomba source ya maelezo yao; hawana... yaani wanatumia maneno ya kuokoteza vichochoroni!nipo my dear........,
Ukirudi nitafute... haki ya mungu tena, nishaanza kukutamani manake nina kaugonjwa ka kupenda mademu wa kimakonde na wanawake wenye midomo kama wewe!
Pole diamond ....??
Uwe mnyaki au mfaranyaki, I don't care... inatosha tu kufahamu kwamba wewe ni mnyaki dada, basi... what else? Usijichekeshe, nitafute wewe... usije ukajikuta unapiga teke fuko la vumba, shauri zako!Haaaa!! Haaaaaa!!! Haaaaa!!! Me mnyaki wewe???? Kazi njema...
Nimeku-miss aisee lakini usipige kelele manake namsarandia mnyaki dada humu na kuna kila dalili kwamba nitabeba mzigo! Akikuuliza kama unanifahamu, mwambie ndio... mwambie mimi ndo Ali Kiba ili niue tembo kwa ubua!Teh teh shost upo??