Diamond hawa ndio wabongo, chukua ushauri wangu

Mkuu matumbo ,mafanikio sio kujitangaza..
Hii ni nyumba ya alikiba anaimalizia..
Hii ndo maana halisi ya mafanikio..
Na sio kusema tu una nyumba 10 wakt hatuzion..
Somji... acha fix bhana... hizo picha zipo kwenye mitandao mbalimbali... kama hajitangazi zimefikaje huko?
 
Ebu wakupatie bilauri la maji upumuwe maana issue ya Domo umeonesha rangi zako zote plus double face. Nakuletea na juice ya ndimu unywe.
Kwa lipi hasa? Hivi ni nani anayehitaji bilauri ya maji kati yangu na yule anayeonesha chuki bila sababu za msingi? Nimekuomba ile source... bado unatafuta, au?
 
Kwahyo watu walimzomea kwasababu ana x6.???
Jide na range lake amewah kuzomewa.??

Sisi ni watanganyika visingizio na visababu havikosekaniki pindi mambo yakienda alijojo.


Wakuu hawa vitimbakwiri wa Domo ndio wameingia shift ya usiku watakesha hapa jukwaa hili mwenye kazi mapema ni bora alale saa hizi aweze kuamka mapema, hawa waliotumwa na madam na visimu vyao vya Tecno niachieni mimi nitawakabali kama one Man Army.
 

ulikua wapi ndgu yangu maana mi najua we ndo teamkiba mshabiki wa damu
maneno mazuri
 
Hebu onesha post moja inayowataka mashabiki wa Kiba wamshabikie Diamond!!! Hilo moja, pili hebu angalia post za humu jamvini zimeletwa na nani hasa... zimeletwa na mashabiki wa Diamond au Ali Kiba ? Karibu post zote zimeletwa na mashabiki wa Kiba... swali linabaki, ikiwa Diamond ndio kazomewa na kwamba ameisha, sasa mnaweweseka nini kila dakika kuleta posts kuhusu Diamond badala ya post kuhusu Ali Kiba?
 
Wakuu hawa vitimbakwiri wa Domo ndio wameingia shift ya usiku watakesha hapa jukwaa hili mwenye kazi mapema ni bora alale saa hizi aweze kuamka mapema, hawa waliotumwa na madam na visimu vyao vya Tecno niachieni mimi nitawakabali kama one Man Army.

Aya bana usiku mwema.... Maliza tu ndugu yangu mana kuna watu wanatokwa povu mpaka huruma kuwasema kisa boss wao kazomewa........!!!
 
Mkuu matumbo ,mafanikio sio kujitangaza..
Hii ni nyumba ya alikiba anaimalizia..
Hii ndo maana halisi ya mafanikio..
Na sio kusema tu una nyumba 10 wakt hatuzion..

Tungeionaje hiyo picha kama siyo kujitangaza kwenyewe????
By the way hivi alishahamiaga.......

Tatizo baadhi ya waTZ tuna maroho ya kimaskini sana yani sana hatupendi kumuona mtu yuko
on peak eti wamemzomea kisa Diamond ana mishauzi sasa kama ana mashauzi ni kwa pesa zake alizostruggle
nazo wakati wenyewe usiku wamepumzisha pumbu zao kitandani mwenzio alikua anakata viuno on the stage ili
pesa hata ya kubadilisha mboga sasa Leo hii yuko juu mnataka kumuangusha na zomea zomea zenu... Wa mbili
havai moja huu ni wakati wa Diamond,
 

Inashangaza.............,
 
Naona sasa umeamua kujitia umakonde.... uliiona nini ile post yangu kwamba napenda wanawake wa kimakonde... jitahidi hivyo hivyo, si ajabu nikaanza kukutamani na wewe.
 
Naona sasa umeamua kujitia umakonde.... uliiona nini ile post yangu kwamba napenda wanawake wa kimakonde... jitahidi hivyo hivyo, si ajabu nikaanza kukutamani na wewe.

Buuuuuuuuuuuuu!!!! Buuuuuuuuuu!! Aya nukuu na wewe chacha.... Mana kiswahili huelewi kimakonde nikakuleta katika mahaba niongeeee kinini????? Byeeeeeee mida ya kazi hii
 
Me nimeshangaa sana juzi wanavyo sema The King is back,huyo king alikuwa wapi mbaka waseme he is back,me nacho kiona ni mwanamziki ambaye hakutumia mda wake vizuri akiwa star,sasa anajaribu kuludi juu kwa nguvu kubwa bila akiri,Diamond ni mwanamziki anaye kwenda na mda na swagger pia,so no matter how hard atajaribu kumshusha dogo ndio atazidi kuwa juu.
 
Buuuuuuuuuuuuu!!!! Buuuuuuuuuu!! Aya nukuu na wewe chacha.... Mana kiswahili huelewi kimakonde nikakuleta katika mahaba niongeeee kinini????? Byeeeeeee mida ya kazi hii
Ukirudi nitafute... haki ya mungu tena, nishaanza kukutamani manake nina kaugonjwa ka kupenda mademu wa kimakonde na wanawake wenye midomo kama wewe!
 
nipo my dear........,
I'm pleased kukuona manake ah! Hili jukwaa watu wamejawa nongwa sijapata kuona... mara watasema hili, baadae wanasema lile, ukiwaomba source ya maelezo yao; hawana... yaani wanatumia maneno ya kuokoteza vichochoroni!
 
Ukirudi nitafute... haki ya mungu tena, nishaanza kukutamani manake nina kaugonjwa ka kupenda mademu wa kimakonde na wanawake wenye midomo kama wewe!

Haaaa!! Haaaaaa!!! Haaaaa!!! Me mnyaki wewe???? Kazi njema...
 
Haaaa!! Haaaaaa!!! Haaaaa!!! Me mnyaki wewe???? Kazi njema...
Uwe mnyaki au mfaranyaki, I don't care... inatosha tu kufahamu kwamba wewe ni mnyaki dada, basi... what else? Usijichekeshe, nitafute wewe... usije ukajikuta unapiga teke fuko la vumba, shauri zako!
 
Teh teh shost upo??
Nimeku-miss aisee lakini usipige kelele manake namsarandia mnyaki dada humu na kuna kila dalili kwamba nitabeba mzigo! Akikuuliza kama unanifahamu, mwambie ndio... mwambie mimi ndo Ali Kiba ili niue tembo kwa ubua!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…