Diamond hivi huyu Mzee ni baba yako kweli? Mama anasemaje?

Diamond hivi huyu Mzee ni baba yako kweli? Mama anasemaje?

Halafu ujue yule Mzee hajalalamika.
Kuna watu tunaamini kulipa kisasi ni alama ya udhaifu.Na hasa kama unalipa kwa mtu asiyeweza kujitetea.

Siamini kama Diamond anaona furaha sana akisikia mzazi wake anasaidiwa na watu baki wasio na uwezo.Ninadhani ili furaha yake iwe ya kweli,amsaidie baba yake hata kama hajamsamehe.

Hiyo spirit haitoi funzo kwa mtu yeyote!Mimi nilinyimwa pia pesa ya shule.Ila mzazi wangu nilimsamehe kitambo
Na wewe una hakika gani kuw hakumtelekeza makusudi?
We ushawahi kusikia mzee wake akijitetea kuwa hakumtelekeza?
Mimi nilishawhi kuona interview diamond akiongelea alivyoenda kwa baba yake kipindi ana ela kuomba ela ya shule akamtimua...
Hata yeye Diamond akiwatelekeza watoto wake bila kuwahudumia atavuna alichopanda... Hii ni funzi kwa wote yani ulalamike kuhudumiwa wakati ulikuwa na uwezo wa kuhudumia hukuhudumia???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu ujue yule Mzee hajalalamika.
Kuna watu tunaamini kulipa kisasi ni alama ya udhaifu.Na hasa kama unalipa kwa mtu asiyeweza kujitetea.

Siamini kama Diamond anaona furaha sana akisikia mzazi wake anadaidiwa na watu baki wasio na uwezo.Ninadhani ili furaha yake iwe ya kweli,amsaidie baba yake hata kama hajamsamehe.

Hiyo spirit haitoi funzo kwa mtu yeyote!Mimi nilinyimwa pia pesa ya shule.Ila mzazi wangu nilimsamehe kitambo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande mmoja ni funzo kwa wanaotelekeza watoto kwa upande wa pili, Queen Darlin mtoto wa huyo baba dada yae diamond, alisema baba yao wanamjua na ela si kwamba hapewi anapewa ila inaelekea mzee anataka awe level moja ana mama yake diamond ni kitu ambacho hakiwezekani, they have no chemistry alidhike na anachopewa tu
 
Ngoma ya mzee ya dudu la yuyu ilipata viewers wangapi?
 
Misukule ya Diamond hamkosekani kutetea kila kitu hata kama ni cha kipumbavu


Sio hivyo mkuu, niko na mchizi wangu damdam lakini akikusimulia historia ya maisha yake inasikitisha sana. Jamaaa alitelekezwa na wazazi wote wawili, akakua maisha ya kuungaunga ya kichokoraa. Sasa hivi yuko njema vibaya vibaya, watu walewale waliomtelekeza wanamletea gozigozi.
Mwenyewe anasema hajisikii kitu chochote kuhusu hao jamaa. Ile feeling ya mzazi haipo kabisa, anawaona watu tu. Haya mambo myasikie tu
 
Sio hivyo mkuu, niko na mchizi wangu damdam lakini akikusimulia historia ya maisha yake inasikitisha sana. Jamaaa alitelekezwa na wazazi wote wawili, akakua maisha ya kuungaunga ya kichokoraa. Sasa hivi yuko njema vibaya vibaya, watu walewale waliomtelekeza wanamletea gozigozi.
Mwenyewe anasema hajisikii kitu chochote kuhusu hao jamaa. Ile feeling ya mzazi haipo kabisa, anawaona watu tu. Haya mambo myasikie tu
Kama anauwezo awasaidie kama watu tu wakawaida..
 
Pesa Ni zake jamani ,na nyie tafuteni zenu
Ushauri wa Nini, kwani unadhani yeye haoni hayo maisha anayopitia baba yake
 
Amehojiwa na TV ya Carry Mastory? Inabidi atulie dawa imuingie, mnavyotelekeza watoto malipo ni hapa hapa, nyau nyie. Mpo wengi tu, hata humu JF.
Usiwe mpuuzi,jambo limeshatokea uwezi rudisha siku nyuma,samehe sahau wacha maisha yaendelee,kumsamehe mzee wako ni thawabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waja wachochezi sana eti wanasema mzee hana barakoa anajifunika vitambaa vya makochi
IMG-20200502-WA0026.jpg
 
Mondi akumbuke kuwa hata kitendo cha Mzee kumchagua Mama yake na akazaliwa yeye ni juhudi tosha na anahitaji tuzo.

Huwezi jua Mzee alimsotea Mama kiasi gani, labda alikuwa anatembea kwa miguu zaidi ya kilomita 15, au alishindia muhogo na maji ili Mama (enzi hizo totos) apate pesa aliyoomba ya kusuka n.k.

Mzee asingefanikisha Mondi asingekuwepo, Mama angekutana na Mwingine na kuzaa wengine, na vivyo hivyo Dingi naye angekutana na 'bebii' mwingine na kuzaa wengine.
 
Wewe umesema kumkataa mzee ni masharti ya Iluminat ina maana FA na Ommy ni Iluminat?

Hivi unajua FA na AY wameshinda kesi na Tigo wameingiza 2bilion?

Ommy Dimpoz corona tuu lkn kila siku ana kwea pipa.

Ndio maana na kwambia vipi wewe unajiona una haki ya kumkosoa Diamond,sababu Mondi kosa alilo lifanya kuyaweka maisha yake ya kifamilia mitandaoni,ila haya mambo ya familia huwezi jua yaliyo ndani.

Soma thread hii
Mwana FA amkana Baba yake mzazi - JamiiForums

Soma na huu

Ommy Dimpoz muombe msamaha baba yako mapema - JamiiForums
mmmh hzo billion walizopewa na tgo walifanya nn..?
 
Wanae pia wanalelewa na mama zao.
Huwezi jua nafasi anayopewa baba katika malezi ipoje.

Pengine; ndio aina ya maisha aliyochagua.
Ni vema kumuunga mkono katika kazi zake, kumsamehe baba yake ni uamuzi wake.

Tuache kutelekeza watoto (au abortion), maana huwezi jua kesho yake.
Satan
 
Back
Top Bottom