ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Msalimie mzee mwambie ahakikishe amelipa king'amuzi maana moto utawaka KIGOMA usiku huu tukiukaribisha mwaka 2020Mie nipo Msoga nimeingia Asubuhi ya Leo kuja kumsalimia na kumtakia Kheir ya Mwaka mpya Jongwe wa Wakwere Mjukuu wa Mzee Mizega Akida wa Wajerumani Mstahiki Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete
Labda baba yake pia angemlea vizuri sasa hivi asingekuwa Dangote huyu tunayemuona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muha au MmanyemaHivi baba yake Mond ni kabila gani?
Mie nipo Msoga nimeingia Asubuhi ya Leo kuja kumsalimia na kumtakia Kheir ya Mwaka mpya Jongwe wa Wakwere ...Mjukuu wa Mzee Mizega ...Akida wa Wajerumani ....Mtoto wa DC wa Kwanza Pangani na Makamu Mwenyekiti wa Kwanza wa Baraza la ushauri la Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya 1965 ....Mstahiki na Muungwana Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete
Ahahahaahaahh Diva anaweza pata kisukari ahahaahah
Unajua kiswahili sanifu?
Nmesema ‘kaenda kwa kina Juma Njemba ‘ sio kwa Juma Njemba
Kama unatelekeza Watoto kwa kutegemea wakilelewa na mama zao wakapata mafanikio watakusamehe sahau hilo. Ukizaa lea, kulea ni wajibu siyo hiari.Huyu jamaa ameenda Kigoma kwa 10 yrs yake kuanzimisha,
Hivi huko pia ni asili ya baba yake.
My take kama babu yupo hai amchimbe mkwala kuwa kwanza akapatane na mwanae kisha ndio amtambue kama.mjukuu,ila pesa sasa ndio tatizo
Naona baba wa rizwan akisifiwa hapo,na wewe dingi ako alikua nani enzi hizo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Zitto hamjui juma njemba!!!zitto sio mshiriki kama sisihemu!!Kaenda kwa kina Juma Njemba wa Ujiji Kwa Wabwali
Muulizeni Zitto au Mzee Malecela na Mzindakaya wawape Khabari za Juma Njemba kwa kirefu
Hatutaki kujua kuhusu hilo...Huyu jamaa ameenda Kigoma kwa 10 yrs yake kuanzimisha,
Hivi huko pia ni asili ya baba yake.
My take kama babu yupo hai amchimbe mkwala kuwa kwanza akapatane na mwanae kisha ndio amtambue kama.mjukuu,ila pesa sasa ndio tatizo
W
Zitto hamjui juma njemba!!!zitto sio mshiriki kama sisihemu!!
Nimemariza ra saba mwaka herufumbiri na mbiri kaka,rabda uiraumu serikali ya sisihemu ndio wakuwarahumu.Kubwa zimaa hujui kuandika
Ujiji Kwa Wabwali
Happy belated birthday soudy brown naskia majuz ilikuwa unasherekea kuzaliwa vipi hapo mjengonNaona baada ya kiba kwenda IRINGA NA BUS jamaa wamechukua treni Hahahahaaa.....humu kwenye game watu wana role models wao bt kusema ndo ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app