GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,432
- 5,864
Mzee..wa.ujiji..vipi..unapatikana maeneo..gani?Koma kabisa wewe, kwani umesikia Wabwali ni wachawi???--- uchawi ni wa mtu binafsi wala kabila halihusiki, hata wewe unaweza kuwa mchawi, je tulihukumu kabila lako??!!, angalia kijana usije kugeuzwa uso nyuma kichogo mbele.
Wabwari..ni..wafalme..wa.ujiji..au sioo!!