Diamond huenda Kigoma kwa nani?

Koma kabisa wewe, kwani umesikia Wabwali ni wachawi???--- uchawi ni wa mtu binafsi wala kabila halihusiki, hata wewe unaweza kuwa mchawi, je tulihukumu kabila lako??!!, angalia kijana usije kugeuzwa uso nyuma kichogo mbele.
Mzee..wa.ujiji..vipi..unapatikana maeneo..gani?
Wabwari..ni..wafalme..wa.ujiji..au sioo!!
 
Mzee..wa.ujiji..vipi..unapatikana maeneo..gani?
Wabwari..ni..wafalme..wa.ujiji..au sioo!!


"Kwa ujumla" ni watu wastaarabu, waungwana na social and understanding wherever they are.
 
"Kwa ujumla" ni watu wastaarabu, waungwana na social and understanding wherever they are.
Ok,kwa nini?nawe muujiji unaandika,kama mrugaruga etc..wabwali,badala ya wabwari,unatokea mitaa gani ujiji?
 
Vitu navyojivunia maishani ni
  1. Kua mwanaume
  2. Kua mzawa wa kwanza
  3. Kua mkristo mkatoliki
  4. Kua Muha
  5. Kua mshabiki wa Diamond



Cha 1,2,3,4--- huwezi kujivunia kwasababu hayo yote sio juhudi zako binafsi isipokuwa ni mapenzi ya Mungu, unachoweza kujivunia nacho ni hicho no, 5 tu kwasababu hicho kimetokana na utashi wako binafsi.

Yee mugabo uramanya??🤣🤣
 
Cha 1,2,3,4--- huwezi kujivunia kwasababu hayo yote sio juhudi zako binafsi isipokuwa ni mapenzi ya Mungu, unachoweza kujivunia nacho ni hicho no, 5 tu kwasababu hicho kimetokana na utashi wako binafsi.

Yee mugabo uramanya??🤣🤣
Ndamenya ye mwamba..
Ila namba 3 nimeifanyia juhudi za kufa mtu ukizingatia nimelelewa visiwani. Kwenye uislamu
 
Mwambieni aweke..lami..Katika mtaa..aliyojmjengea nyumba..mama..yake..buzebazeba,ujiji nyumba anayoishi..mjomba..wake..waweke..na..mataa barabarani..watu..wale..matunda..ya..kijana..atapokea..dua..tele..kutoka.kwa.waumini
 
Ok,kwa nini?nawe muujiji unaandika,kama mrugaruga etc..wabwali,badala ya wabwari,unatokea mitaa gani ujiji?



Wewe ni mpelelezi ???!!, ng'ooo hunipati kwa njia hiyo, ila mimi ni Muujiji pure, mji wetu niliokulia hadi najitambua, ila kwasasa si ishi huko tena. Barabara ya lumumba, Barabara ya Livingston, Barabara ya kawawa, mtaa wa mtakuja, mtaa wa mwembengoma, mtaa wa songoro, mtaa wa kibamba, kagera, kipampa, kasingirima, Rubuga, Businde, Majengo, kitongoni, Buzebazeba,Burega, mnazi mmoja, majengo, Burega, luiche, kasimbu, Barabara ya Rusimbi nk, --- hayo yoote ni maeneo niliyokulia nayo, during those good days, bila kusahau kwenda kuogelea ziwa Tanganyika siku za jpili. Viva kigoma, viva ujiji, viva Migebuka na sangara , vyakula ninavyokosa leo-- vyakula vinavyojenga akili.🤣🤣
 
Ndamenya ye mwamba..
Ila namba 3 nimeifanyia juhudi za kufa mtu ukizingatia nimelelewa visiwani. Kwenye uislamu



Chupuchupu uwe Muisilamu??!!🤣🤣 yawezekana umekosa neema pia, jaribu kupeleleza tena mkuu.
 
Haahhaahaa!! Acha uoga Mimi sio mpelelezi nilifikiri kwa sasa upo..ujiji unamshangaa diamond,ujiji ni sehemu pekee yenye burudani ya maisha duniani sema Yale mambo yetu Yaleee yakale yamekimbiza watu wengi kuukimbia mji mkongwe na kutokuujenga..nakushauri ujenge nyumbani hata kama hutarudi kuishi....inawezekana mkiamua kurudisha maendeleo nyumbani.
 
Bongolala tumelala kweli kweli,mwanamuziki anapokelewa kuliko rais aisee hii imevunja rekodi.
Mawazo na vinywa vya watanzania wengi
Sahv wanajadili khs mondi kigoma na konde Mtwara hko
Na Sahv ukifuatilia radio zote Kuanzia asubuhi mpk usiku ni bongo fleva zinapigwa, stori za shilole sjui kamfimania Nani etc Yaani ujinga ujinga tu

Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo tena Tanzania ya viwanda vya instagram na fesibuku kizazi kimekosa muelekeo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…