Before ajaondoka kasema ataanza ujenzi wa nyumba.Mwambieni aweke..lami..Katika mtaa..aliyojmjengea nyumba..mama..yake..buzebazeba,ujiji nyumba anayoishi..mjomba..wake..waweke..na..mataa barabarani..watu..wale..matunda..ya..kijana..atapokea..dua..tele..kutoka.kwa.waumini
Nina waoneeni huruma sanaMawazo na vinywa vya watanzania wengi
Sahv wanajadili khs mondi kigoma na konde Mtwara hko
Na Sahv ukifuatilia radio zote Kuanzia asubuhi mpk usiku ni bongo fleva zinapigwa, stori za shilole sjui kamfimania Nani etc Yaani ujinga ujinga tu
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa angefanya kurudisha maendeleo mkoani kigoma ingekuwa poa sana...sijui wanamshauri lakini.Before ajaondoka kasema ataanza ujenzi wa nyumba.
Mbona amejenga teyali visima viwili vya maji.Huyu jamaa angefanya kurudisha maendeleo mkoani kigoma ingekuwa poa sana...sijui wanamshauri lakini.
Sijauliza kama ni muhimu, nimeuliza kama ni lazima.Ni muhimu
Ah pambafu zako umenichekesha sana πππππNimemariza ra saba mwaka herufumbiri na mbiri kaka,rabda uiraumu serikali ya sisihemu ndio wakuwarahumu.
Wapi amejenga nikapige kakikombe kamoja nitoe thumu mkuu!!!Mbona amejenga teyali visima viwili vya maji.
Kwa nini Mzee abuduli asemagi kwao ni wapi?Kigoma ni kwao uncle Shamte, baba yake wa sasa.
Mko hapo mtaa Wa maftah baila bimala?maliza ubishi tupo hapa darajani kwenye kahawa tunabishana eti ile nyumba mpya hapo kwa baila ni ya nani,ni ya mama daimundo au ya kalonji tumebishana sana...kuna jamaa nimempasua kwa kichwa....amemwaga kahawa yangu na teveri..sababu ya huu ubishi...si unajua ubishi wetu tena hauishi!!!!Kaja kwa wajomba zake kina Bukuku tumejaa tele hapa Ujiji. Mwanetu Sanura Kasim Ramadhan Bukuku alituzalia Diamond nasi bila hiana tulishiriki vilivyo kumlea mpwa wetu wakati baba yeke mzazi hayupo. Hivyo lazima atukumbuke wajomba zake.
Kigoma.Wapi amejenga nikapige kakikombe kamoja nitoe thumu mkuu!!!
Ujiji?Kigoma.
Hahaha bado ni muhimu tuuuSijauliza kama ni muhimu, nimeuliza kama ni lazima.
Kwa nini unajibu swali ambalo sijauliza, na swali ambalo sijauliza hujibu?
Halafu muhimu kwa nani? Nani anapanga nini muhimu kwa mwingine kwenye jambo la kibinafsi na faragha kama hili?
Unajua historia ya mtu baki na babake iliendaje? Au unajivika cheo cha kupangia watu mambo tu bila hata kujua kilichotokea?
Kwani nani kauliza kama muhimu?Hahaha bado ni muhimu tuuu