Diamond huenda Kigoma kwa nani?

Mwambieni aweke..lami..Katika mtaa..aliyojmjengea nyumba..mama..yake..buzebazeba,ujiji nyumba anayoishi..mjomba..wake..waweke..na..mataa barabarani..watu..wale..matunda..ya..kijana..atapokea..dua..tele..kutoka.kwa.waumini
Before ajaondoka kasema ataanza ujenzi wa nyumba.
 
Nina waoneeni huruma sana
 
Kaja kwa wajomba zake kina Bukuku tumejaa tele hapa Ujiji. Mwanetu Sanura Kasim Ramadhan Bukuku alituzalia Diamond nasi bila hiana tulishiriki vilivyo kumlea mpwa wetu wakati baba yeke mzazi hayupo. Hivyo lazima atukumbuke wajomba zake.
 
Ni muhimu
Sijauliza kama ni muhimu, nimeuliza kama ni lazima.

Kwa nini unajibu swali ambalo sijauliza, na swali ambalo sijauliza hujibu?

Halafu muhimu kwa nani? Nani anapanga nini muhimu kwa mwingine kwenye jambo la kibinafsi na faragha kama hili?

Unajua historia ya mtu baki na babake iliendaje? Au unajivika cheo cha kupangia watu mambo tu bila hata kujua kilichotokea?
 
Kigoma ni kwao uncle Shamte, baba yake wa sasa.
 
Kaja kwa wajomba zake kina Bukuku tumejaa tele hapa Ujiji. Mwanetu Sanura Kasim Ramadhan Bukuku alituzalia Diamond nasi bila hiana tulishiriki vilivyo kumlea mpwa wetu wakati baba yeke mzazi hayupo. Hivyo lazima atukumbuke wajomba zake.
Mko hapo mtaa Wa maftah baila bimala?maliza ubishi tupo hapa darajani kwenye kahawa tunabishana eti ile nyumba mpya hapo kwa baila ni ya nani,ni ya mama daimundo au ya kalonji tumebishana sana...kuna jamaa nimempasua kwa kichwa....amemwaga kahawa yangu na teveri..sababu ya huu ubishi...si unajua ubishi wetu tena hauishi!!!!
 
Hahaha bado ni muhimu tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…