Kama namuona kiben10 cha mama Diamond kilivyochekelea huko.
Kama utani vile analala na kuamkia Madale huku baba Diamond hata anakolala mwanae hapajui!
Maisha haya jamani!
Nusu itakayobakiaok poa.
Halafu wanao warithi nini?
Je kama mama akitangulia kufa?Mali za diamond zote kaandika jina La bi Sandra
Nifah upo...its been long time...gud to see u again.
atahonga ela zote uyo bimkubwa
Msichokijuwa utendakazi wa Mungu ataanza kufa huyu mama.Utashangaa hata kwenye msiba wake akawa mwenyekiti yeye tu.
Hakuna funzo hapo mkuu, wewe ni kipofu kuna kitu hukioni.Huyu maza kila siku basdei yake?very good lakini.mi nafurahi sana kuona mtu anampa priority mama kwa kiasi hicho pasipo kujali.hilo ni funzo
Msichokijuwa utendakazi wa Mungu ataanza kufa huyu mama.
Mpango wa Mungu ni watoto kuwazika wazazi wao na siyo wazazi kuwazika watoto.
Kama huko kwenye madhabau yao ya shetani ameambiwa anakaribia kufa badi sawa.
Tangu mwanzo wa dunia hizi ndio salamu za kwanza za birthday wishes naona zinaandikwa kishirikina namna hii.
Nusuok poa.
Halafu wanao warithi nini?
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nshakwambia u mkorofi dadanguSawa si mama ake arithi tu!kwanza daimond kidini hana mtoto hata mmoja so urithi labda awape hisani tu!
[emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13]He he he he he
Yule mama wa Madale kwa akili zile atasaza kitu kweli yule??
His days are numberedHakuna funzo hapo mkuu, wewe ni kipofu kuna kitu hukioni.
Inawezekana wewe pia ukasema Muna alikuwa anampenda sana mwanaye kwa tafsiri ya wajinga wengi.
Exactly..Watoto madam si wa ndoa ni wa mama.Sawa si mama ake arithi tu!kwanza daimond kidini hana mtoto hata mmoja so urithi labda awape hisani tu!
kumbe kuzaliwa Tandale (tena Dar) hakuna tofauti na kuzaliwa Mwananjilinji.
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz leo Julai 7, 2018 amesema kuwa endapo itatokea kesho akaaga dunia basi nusu ya mali zake zitachukuliwa na mama yake mzazi.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond amesema mama yake amepitia magumu mengi sana ikiwemo manyanyaso wakati akimlea hivyo hakuna mtu wa kumlinganisha na mama yake.
“Nasikitikaga sana Wanapojaribu Kulinganisha Thamani yako kwangu na Mtu yoyote…
Na kusahau kuwa pasipo wewe kunizaa na Kunilea kwa shida na tabu leo hii hakuna yoyote ambae angeniona wamaana.
Ikiwa wewe ndio Ulonifanya mie nikawa Duniani Basi you will always be My First priority then the rest will follow.
Dharau na Manyanyaso Ulopitia kwenye kunilea Hakuna anayejua, Tabu na shida Ulizopitia kufanya hadi leo walau nionekane mtu mbele za watu..
Eti mtu kirahisi tu anatokea na kukuringanisha na mtu.
Mama MADALE is your House!!!
Na ikitokea kesho nimekufa pia NUSU ya Mali zangu zote ni zako.
“ameandika Diamond Platnumz.
“Mwanao Napambana Usiku na Mchana Kwanza kwajili yako, Walau Ujifariji kwa Magumu Ulopitia kwa kunilea kwangu, I want you to Enjoy the life as Much as You can, Maana sina cha kukulipa zaidi ya Hicho."
Leo ni siku ya kuzaliwa ya mama yake Diamond.
Source: Bongo5