Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Huyu maza kila siku basdei yake?very good lakini.mi nafurahi sana kuona mtu anampa priority mama kwa kiasi hicho pasipo kujali.hilo ni funzo
 
atahonga ela zote uyo bimkubwa
Utashangaa hata kwenye msiba wake akawa mwenyekiti yeye tu.
Msichokijuwa utendakazi wa Mungu ataanza kufa huyu mama.

Mpango wa Mungu ni watoto kuwazika wazazi wao na siyo wazazi kuwazika watoto.

Kama huko kwenye madhabau yao ya shetani ameambiwa anakaribia kufa badi sawa.

Tangu mwanzo wa dunia hizi ndio salamu za kwanza za birthday wishes naona zinaandikwa kishirikina namna hii.
 
Msichokijuwa utendakazi wa Mungu ataanza kufa huyu mama.

Mpango wa Mungu ni watoto kuwazika wazazi wao na siyo wazazi kuwazika watoto.

Kama huko kwenye madhabau yao ya shetani ameambiwa anakaribia kufa badi sawa.

Tangu mwanzo wa dunia hizi ndio salamu za kwanza za birthday wishes naona zinaandikwa kishirikina namna hii.


duuh Freemasons au vp
 
Sawa si mama ake arithi tu!kwanza daimond kidini hana mtoto hata mmoja so urithi labda awape hisani tu!
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji13] [emoji13] [emoji13] nshakwambia u mkorofi dadangu
 
Hakuna funzo hapo mkuu, wewe ni kipofu kuna kitu hukioni.

Inawezekana wewe pia ukasema Muna alikuwa anampenda sana mwanaye kwa tafsiri ya wajinga wengi.
His days are numbered
.he is living in a borrow time
 
Naona mnajaribu kuzima kiki za jini Muna.

Anyway,

Hatuna haja ya kuyajua haya sisi, hata tukiyajua hayatusaidii kupambana na hali zetu.
 
Diamond-Platnumz.jpg


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz leo Julai 7, 2018 amesema kuwa endapo itatokea kesho akaaga dunia basi nusu ya mali zake zitachukuliwa na mama yake mzazi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond amesema mama yake amepitia magumu mengi sana ikiwemo manyanyaso wakati akimlea hivyo hakuna mtu wa kumlinganisha na mama yake.

Nasikitikaga sana Wanapojaribu Kulinganisha Thamani yako kwangu na Mtu yoyote…
Na kusahau kuwa pasipo wewe kunizaa na Kunilea kwa shida na tabu leo hii hakuna yoyote ambae angeniona wamaana.

Ikiwa wewe ndio Ulonifanya mie nikawa Duniani Basi you will always be My First priority then the rest will follow.
Dharau na Manyanyaso Ulopitia kwenye kunilea Hakuna anayejua, Tabu na shida Ulizopitia kufanya hadi leo walau nionekane mtu mbele za watu..

Eti mtu kirahisi tu anatokea na kukuringanisha na mtu.
Mama MADALE is your House!!!
Na ikitokea kesho nimekufa pia NUSU ya Mali zangu zote ni zako.

“ameandika Diamond Platnumz.

Mwanao Napambana Usiku na Mchana Kwanza kwajili yako, Walau Ujifariji kwa Magumu Ulopitia kwa kunilea kwangu, I want you to Enjoy the life as Much as You can, Maana sina cha kukulipa zaidi ya Hicho."

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mama yake Diamond.

Source: Bongo5
kumbe kuzaliwa Tandale (tena Dar) hakuna tofauti na kuzaliwa Mwananjilinji.

yaani urithi unaandikwa social media?!!
 
Akumbuke pia, bila baba huyo mama asingepata mimba ya kumzaa yeye. Ajifunze kusamehe pia, palipo mama pana baba!, mbegu ilitoka kwa baba, yeye mama alikuwa mtunzaji wa mbegu na kuizalisha. Natarajia birthday ya baba yake atamalizia nusu iliyosalia kwa urithi.
 
Back
Top Bottom