Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Diamond: Ikitokea nimekufa kesho, nusu ya mali zangu apewe mama yangu mzazi

Leo hii nyumba ni ya mama Diamond na Uncle Rally [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3]zari alikua hawara tu!!

Kwenye mirathi hayupo
Mama diamond ndo kila kitu na baba diamond kama tu walifunga ndoa!
 
Huyu naye atulize shobo, hii ni wiki ya Munalove asitutowe kwenye mstari.

Mambo ya urithi yanaandikishwa Rita au kwa wakili, asituletee kick za kisenge hapa.

Hayo ni mambo binafsi ya kifamilia hata akitaka nyumba ichomwe moto kivyake, atuache tumalizane na Muna kwanza.
 
[emoji3]zari alikua hawara tu!!

Kwenye mirathi hayupo
Mama diamond ndo kila kitu na baba diamond kama tu walifunga ndoa!

Imagine Zari ndio angeshaolewa na kuwa ndio mrithi,tungehama instagram.

Hata hivyo Diamond kumrithisha mama yake mali zake kafanya vizuri sana,maana yeye ndio mtu pekee mwenye mapenzi ya kweli na kujali maslahi ya mwanae.
 
Imagine Zari ndio angeshaolewa na kuwa ndio mrithi,tungehama instagram.

Hata hivyo Diamond kumrithisha mama yake mali zake kafanya vizuri sana,maana yeye ndio mtu pekee mwenye mapenzi ya kweli na kujali maslahi ya mwanae.
Ndo maana alitaka ndoa[emoji3][emoji3][emoji16]Mungu fundi sana ujue!
 
Huyu naye atulize shobo, hii ni wiki ya Munalove asitutowe kwenye mstari.

Mambo ya urithi yanaandikishwa Rita au kwa wakili, asituletee kick za kisenge hapa.

Hayo ni mambo binafsi ya kifamilia hata akitaka nyumba ichomwe moto kivyake, atuache tumalizane na Muna kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuelewa sana Bro kwa comments zako.
I'm yo fan.
 
Diamond-Platnumz.jpg


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz leo Julai 7, 2018 amesema kuwa endapo itatokea kesho akaaga dunia basi nusu ya mali zake zitachukuliwa na mama yake mzazi.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond amesema mama yake amepitia magumu mengi sana ikiwemo manyanyaso wakati akimlea hivyo hakuna mtu wa kumlinganisha na mama yake.

Nasikitikaga sana Wanapojaribu Kulinganisha Thamani yako kwangu na Mtu yoyote…
Na kusahau kuwa pasipo wewe kunizaa na Kunilea kwa shida na tabu leo hii hakuna yoyote ambae angeniona wamaana.

Ikiwa wewe ndio Ulonifanya mie nikawa Duniani Basi you will always be My First priority then the rest will follow.
Dharau na Manyanyaso Ulopitia kwenye kunilea Hakuna anayejua, Tabu na shida Ulizopitia kufanya hadi leo walau nionekane mtu mbele za watu..

Eti mtu kirahisi tu anatokea na kukuringanisha na mtu.
Mama MADALE is your House!!!
Na ikitokea kesho nimekufa pia NUSU ya Mali zangu zote ni zako.

“ameandika Diamond Platnumz.

Mwanao Napambana Usiku na Mchana Kwanza kwajili yako, Walau Ujifariji kwa Magumu Ulopitia kwa kunilea kwangu, I want you to Enjoy the life as Much as You can, Maana sina cha kukulipa zaidi ya Hicho."

Leo ni siku ya kuzaliwa ya mama yake Diamond.

Source: Bongo5

atahonga ela zote uyo bimkubwa
 
Back
Top Bottom