Diamond is overrated - Jose Chameleone

Diamond is overrated - Jose Chameleone

Kiuhalisia huwez mfananisha diamond na josse, hata mimi kura Ya mafanikio,kura ya mipesa na kura ya unext level nitampa josee, Kiukwel diamond ni overrated na media nakubali
LAKINI KWA KITU AMBACH0 AMEONGEA JOSSE NAMUONA NAE NI MPUUZ KWA MAANA YEYE NAE AMEKUA PART YA MEDIA INAYOMPA KIKI DIAMOND. YEYE KAMA ANAJUA DIAMOND NI DOGO TU KWAKE ,SASA ANALETA MCHECHETO WA NINI. AU KINAMUUMA KWA SABABU JAMAA KAMTO***BEA DADA YAO..
 
Yule ni mme mwezake for your information alishapitaga kwa Zari cku nyingi uliza waganda wakwambie
Kwani kumla mwanamke tatizo mbona ww mkeo kalia na jamaa zako?
Diamond bado ni best katika muziki wetu

Alafu nyie wafwasi wa kiba huu Uzi unamuhusu diamond na kinyonga

Nawaomba tu msubirie kumuona kiba kwenye ziara za fiesta mikoani ndio tour yake ya dunia shoooo za makundi
 
Kujimarket sio tu kujitangaza, kufanya kazi kwa bidii na ubora nayo ni kujimarket, mfano video bora , mavazi na kufeaturing na wanamuziki wengine wenye uwezo mkubwa
Huo ni uchambuzi mpya wa term "marketing"! Ngoja tuchukue Google's definition of marketing: "the action or business of promoting and selling products or services, including market research and advertising!"

Sijawahi kusikia kwamba Hardworking is a part of marketing but, to be a successful marketer (and in fact, successful to anything) you need to be Hardworking! Kwahiyo hapo si kwamba hardworking anamtegemea marketing bali (successful) marketing anamtegemea hardworking! Hayo yote uliyotaja hapo juu, including marketing yanahitaji hardworking ili kuyafikia! Hiyo action of selling and promoting inahitaji hardworking (and of course, smartness) ili iwe full executed!
 
Ahahaa kwa mara ya kwanza leo nimejikuta nashindwa kuchagua nani mkali zaidi kati ya hawa wanamuziki
Sitaki kuulizwa kwa nini.
Chamellione anamzid diamond umri tuu na pesa kidg, but diamond is all the way Up kimziki and is higher than josee
 
diamond haingizi maguu kwa chameleone
Kuwa more specific kiongoz wang, diamond haingiz maguu ktk lipi, ama unamaanisha kwa kila kitu, kitu ambacho c cha kwel, josee ni km legend tuu while dee is on top kwa east africa na africa recently
 
Kamkubali kimya kimya ndio maana kamjadili kwenye TV, mbona hajamtaja Manfongo?
Ukiangalia vituko vya Jose Chameleone huwezi kumuweka pamoja na Diamond. Sidhani kama Diamond alishawahi kuyafanya haya ya Jose Mayanja. Hebu peruzi hivi vituko:
Mkurugenzi Global Publishers ashangazwa na mwanamuziki Jose Chameleone
Jose Chameleone aanguka ghorofani avunjika
.: A to Z story ya Erick Shigongo na Jose Chameleon hii hapa, lakini nimechanganya lugha mbili, kiswahili na kizungu ili kuhakikisha sizidishi wala sipunguzi walichozungumza wadau kwa kauli zao.
 
All we care about is results!Wewe unaweza ukawa na akili sana,ukawa unatumia muda mchache sana kusoma lakini unapasua!Kuna mwingine anaelewa uwezo wake ni wa wastani!Hivyo akawa anasoma sana na anafaulu!Ikaja paper,huyu anayekesha akapasua kuliko wewe unayesoma kidogo japo wote mmefauli!Kila mtu atamsifia yule aliyesoma sana na kufaulu kuliko mwenzake!
Ni sawa na Diamond,anatambua lazima akaze ili afaulu!Huwa anasema hadharani kabisa,"ningekuwa na sauti kama ya Ali kiba ningekuwa mbali sana"!Yaani anaelewa uwezo wa Kiba ni mkubwa ila hajui kuutumia!Hayo Diamond kayaona!
Sisi mashabiki all that matters is result!Kiba Mwenyewe kwa Bella hagusi hata kwa mbali!
kumbe uwezo ni sauti na cyo how to compose a song
 
kwa mantik iyo chameleon hafikii kiba kiuwezo km kipimo cha mziki n sauti
Usichanganye mambo,haina maana ukiwa na sauti ya kike ndio unaweza kuimba!Ladha inayotoka kinywani ndio hasa kipimo,haijalishi una Saudi nzito au nyembamba
 
Usichanganye mambo,haina maana ukiwa na sauti ya kike ndio unaweza kuimba!Ladha inayotoka kinywani ndio hasa kipimo,haijalishi una Saudi nzito au nyembamba
kwa hyo nyimbo za ndomo hazna ladha, mzazi
 
Kinyonga na simba wapi na wapi uyo kachanganyikiwa kila zama na mfalme wake!
 
Back
Top Bottom