Diamond jitathmini upya! ‘kokoro’ imekuvua nguo mshkaji wangu

Eti % 70 ya wimbo watu wako uchi unaujua uchi kweli ww kuna kipi kigeni mtu hajawahi kukiona kama ni matiti mbona watu wanayatoa hadharani kabisa kunyonyesha sio kwamba nakupinga ila sioni maana
 
Mimi mwenyewe nimekuwa discouraged na video ile. Atambue kuwa ana fan base kubwa. Yeye kama moja wa maicon kwenye muziki wetu hakutakiwa kuruhusu video chafu vile itoke achilia mbali kushiriki.
Mnajadili upumbavu diamond hafanyi mziki kwajili yako na mleta Uzi.unasema video chafu Ni chafu kipande kipi kwa mfano?
 
Asante
 
Hivi muogo wa jang'ombe ushawahi kuusikia, au ule mkunaji na mkunwaji huona raha ni nani na hizi nyimbo za miaka hiyo za bi kidude na Shakira lkn kwenye zilipendwa tunazisikiliza, enzi hizo tena Kuna maadili ya kutosha au kwa sababu kafanya Diamond, ujue kama mtu HUMPENDI SEMA SIMPENDI, sio UNAZUNGUKA KAMA DAWA YA MBU YA KUCHOMA mara hoo namkubali mara hoo amenikela. Alafu hujui ule wimbo sio wa WCB ule wimbo ni mali ya mavoko diamond kashirikishwa, leo na kesho hata mavoko akiondoka WCB, wimbo unabaki kuwa mali yake.
 
Hivi KOKORO ni wimbo wa Nani kwani? Maana sielewi Elewi kinacho zungumzwa! Hivi Diamond ana wimbo unao itwa Kokoro? Tukijua hilo ndo tuendelee na Mjadala
 
Issue hapa ni soko lenye kukuingizia pesa nyingi lipo wapi, jamaa ametarget soko la nje na hakuna namna utatoboa kwenye soko la nje kama hujajitoa ufahamu,lazima uwe willing kufanya what you never thought you will do. Jamaa yupo sawa
 
Hakuna msanii bongo aliyekuwa akiimba matusi kwny nyimbo zake kama ngwair lakini cjawai kusikia mtu akilalamika kuhusu hizo nyimbo na humu utakuta wanazisifu tuacheni unafiki domo kila akifanya kitu lazima mtoe maneno ya shombo mmeshatuchosha shabikieni wanaoimba nyimbo za kuelimisha
 
Siku nyingine ukiwa unafanya Uandishi jaribu kuzingatia baadhi ya fact... yeah thread yako nimeipenda inaonekana unamfatilia sana chibu...

naomba niku jibu pasipo kuwa na Ushabiki nimependa sana jinsi ulivyo tiririka hapo juu kuhusu Chibu

But Nyimbo ya Kokoro sio ya Diamomd na mwenye Haki miliki ni rich mavoko. na wala sio diamond jaribu kutofautisha hilo.

Tatu tumekuwa tukisikia kitenge ambacho kinaitwa basata hawa watu wamekuwa wakifatilia vizuri sana

sheria na kanuni za kutokuvunjwa kwa maadil kwa kupitia wasani Unataka kuniambia huu wimbo hawajauiskia

Au hawamjui diamond... nakumbuka Chura ya snura Aikupita wiki... ikala block mpaka pale alipo badili video

Nay wa mitego Akumaliza hata mzunguko wa wiki yKe ya pili Akala block kuhusiana na Pale kati patamu.

shilole nae baada ya kufanya majanga kwenye nchi za watu. baada ya miez kazaa Alikula block

swali langu ni je!? wew una nafasi gani basata ili ulifanyie mchakato sasa hiv na kiukwel nitakuunga mkono.

Je basata ipo au haipo!!? kama ipo je Haimuoni Rich mavoko!?

KOKORO SIO NYIMBO YA DIAMOND
 
Umeandika insha ndeeeeefuuuu nasoma nikajua nitakutana na point walau moja ila mpaka nafika sentesi ya mwisho hakuna hata kijipoint kimoja..

Hata kukujibu nasikia uvivu kwasababu unaonekana hujui mziki, hujui industry ya mziki, hujui biashara ya muziki, hujui strategies za muziki na hujui hata lengo la hiyo nyimbo ni nini.!!

Jifunze hayo hapo juu kwanza ndio uanze kuandika hizi insha!
 
WCB na mashabiki wao wooote ni kipofu na mkongojo wake hawawezi kukubaki ukweli lakini hakuna anayethubutu kuangalia video hiyo na mzazi wake japo humu wanatetea puuuumbav
 
Acha kuandika umbea ww matus gan unayoyasema na Ney wa mitego tutasemaje na huo mvideo wa Rosa Ree hpo chin kaimba nin[emoji116] [emoji116] punguza ushabiki mtoa mada km cjakosea ww n mojawapo ya tmu kibakul[emoji35] [emoji35]
 
Kwanza Mwasi Matata Unavosakata Kiuno taranta Jini makata Vonikamata Kichwa na Ngata Soka Samatta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…