jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 485
- 482
Dah leo Joseverest wamekulazimisha kutoa comment zaidi ya moja! Ila hunaga hiyana umekubali yaishe. Safi sanaanhaa kumbe basi sawa
Ukweli mchungu.Wewe kweli Great thinker-sijui why people don't see this, Diamond kazungukwa na waswahili left,right and centre,anahitaji mtu anayeweza ku think outside the box,anayeweza kuona over the horizon
haki nimechekaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unaweza kuoa demu aliyejichubua.???
Yani unakuwa na uhakika kabsa kwamba akizeeka atakuwa mwekundu.??
Wewe unaweza kuoa.???
ndio mkuu haina haja ya kulumbana sanaDah leo Joseverest wamekulazimisha kutoa comment zaidi ya moja! Ila hunaga hiyana umekubali yaishe. Safi sana
sio kila siku mambo yanakuwa sawa na hapo nimeuliza tu swali kutaka kujuahua una maoni + sana, ila leo umeniangusha
Tusubiri mkuu..muda utasemaAnajipanga
Sure. Sio bureTimu mobeto imehamia humu....
Mbona FA kadumu ???Industry ya music haihitaji uoe kijimke kisichojulikana mkuu, la sivyo uhai wa umaarufu wako utakuwa mfupi mno. Hawa wasanii waache waoane wenyewe kwa wenyewe.
Hahah, okayMbona FA kadumu ???
Kwa utofauti wa miaka kati ya zari na domo soon, domo ata mdrop zari kumbuka anaelekea 40 asa iv, na dogo ndo anaitafuta 30, so kwa kijana mdogo mwenye maendeleo na jina kama diamond sizan kama ataendelea kuwa committed na zari.Mtu kumpa mimba haina maana kuwa yupo committed! Mnaweza kuwa hata kwenye ndoa na msiwe committed! Mtu aliye committed KATU hawezi kuwa tayari kuachana na yule aliye committed nae! Unfortunately kuna wengine wanadhani ndoa ndio commitment kumbe ndoa ni makaratasi tu yale! Kinyume cake, mtu kama hayupo kwenye ndoa ndo wanadhani sio committed kumbe commitment ni zaidi ya ndoa na watoto! Na ndio maana Diamond alimwambia wazi Hamisa kwamba hawezi kumwacha Zari! Hiyo ndiyo commitment
Vigezo vya Hamisa:
1. Ana umri mzuri kwako.
2. Anakupenda na wala hakupendei hela, coz wenye hela kukuzidi wapo wengi lakini kaamua kuwa na wewe kitambo.
3. Ni mzuri na ana mvuto.
4. Ni mama mwenye malengo ya familia, coz angekuwa mcharuko angetoa mimba, lakini kakubali kulea bila kujali carrier yake ya uanamitindo.
Ushauri wa bure bwana mdogo Diamond.
Maelekezo ya mganga wakeHivi kwa nini Diamond haoi ?? au kuna masharti amepewa?? Nini kinamzuia kuoa?
Hivi mtu akikukana hadharani kwenye media, si na wewe unatakiwa uweke ushahidi hadharani au haki ni ya upande mmoja?Mwanamke anayeweza kuexpose picha na msgs zako kwenye jamii kwa nia yeyote ile HAFAI kua mke!
Umesema kuna wenye hela kumzidi Diamond, Ila hajawa nao NI KWELI, lakini kila Mguu unakiatu cha size yake na kila Malaya anabei yake NUKTA
Ilikuwaje hadi akamkana hadharani?! Ni kwamba hayo mapenzi yao yalianzia na kuwa ya hadharani; au?! Watu walishakubaliana kila kitu na hadi familia inafahamu; sasa alikuwa na sababu gani za msingi za kutaka LAZIMA Instagram nao wafahamu!!!Hivi mtu akikukana hadharani kwenye media, si na wewe unatakiwa uweke ushahidi hadharani au haki ni ya upande mmoja?
Kumbuka Hamisa sio Bashite anayegoma kuweka vyeti hadharani.
Sky unataka Team mond wakushambulieMaelekezo ya mganga wake
Hiyo bahati inakufaa wewe olewa na chibu ufaidi kma wengine,unaweza jengewa nyumba south sudanVigezo vya Hamisa:
1. Ana umri mzuri kwako.
2. Anakupenda na wala hakupendei hela, coz wenye hela kukuzidi wapo wengi lakini kaamua kuwa na wewe kitambo.
3. Ni mzuri na ana mvuto.
4. Ni mama mwenye malengo ya familia, coz angekuwa mcharuko angetoa mimba, lakini kakubali kulea bila kujali carrier yake ya uanamitindo.
Ushauri wa bure bwana mdogo Diamond.