Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Hiki kitendo cha Diamond kutokuwa mzito kwenye kujishusha ndo kimemfanya kufika hapo alipo na nina uhakika kwenye safari yake ya kutegemea sapoti ya watu atafika mbali!!!!!
 
acha anyooshwe next time asicheze na watu wenye machungu uyo bashite amliwaze coz yeye ndo kamwandia
 
bila kukosa
 
Mmmh Gwajima ni nani huyu mtu ningependa kujua historia yake ya nyuma anaogopeka sana huyu mtu hadi mkulu anapata presha na huyu mtu.
 
Hahahaha asubiri kristapeni zake kesho
 
Anaonea vidagaa tu huyu askofu uchwara. Kwa nini hakuinanga serikali pale ilipomfukuza Tanganyika Packers alipotoa vyombo vyake kupeleka kwenye mkutano wa Chadema kipindi cha uchaguzi?
 
natamani hizi movie zinazoendelea wawe wanazimulia watu wale wana tafsiri movie za kiswahili
 
Umenichekesha sana bro
 
Gwajima huwa anapiga panapouma
Yaani tuombe amsamehe laaah mond kazi anayo
 
Reactions: ydn
Diamond ALIPULIWE TU maana hakuna namna nchi haipo serious....mambo ya kibwege tu hii serikali ya hovyo sana DAB angeondolewa haya yote yasingetokea...
Yaaa!
Naunga mkono alipuliwe tu!!
Ukiangalia kwa makini mistari ya Nasibu utaona amemtaja Bashite kisanii kwa kumvisha nguo(konda) lakini Bishop amemtaja jina full.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena hiyo nyama iwe kiti moto
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] hapo bora amugeuze majitu [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Inawezekana domo kafanya hivyo kwa influence ya bashite (rejea shilawadu saga). Hana namna sasa acha hummer igonge kiwikoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Siku Dhambi kubwa ambayo nitaifanya na haitahitajii msamahaa ni kuja kuingia kwenye Kanisaa la Gwajimaa.... hiyo kwangu itakuwa dhambi kubwa sanaaa!! Hata dunia nzima Abakie yeye Nitaabudu vitu vingine alivyo umba Mungu ila sio kuingia kanisani kwake
Sisi wapenda ubuyu bila kwadithiwa tunawahi viti vya mbele. Hatutaki mambo ya YouTube. Tunataka kitu live. Hatutaki kuyasikia kwakina Mange cjui Lepumbuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…