Mwamba1961
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 626
- 409
Mkome kuchezea visivyochezewa ungeshushwa na umaarufu wako.
Gwajima hajabadili msimamo wake, lazima kesho achambwe mtuDimondo umetuharibia pozi la kesho aah...manake ungechanwa mpaka uzimie pwaaa...chezea Ngwajima wewe....
HATA MIMI NAOMBA ASAMEHEWE TU MAANABaba mchungaji huwa anahitaji Samahani tu.. mi naomba amsamehe tu kijana keshajishusha
KWAHYO BABA TIFFA NA BABA NILLAN WATAKUWEPO SIOGwajima hajabadili msimamo wake, lazima kesho achambwe mtu
Kweli asee mambo ya kuoneshwa adi dushe ya dai hatutaki waumini....Baba mchungaji huwa anahitaji Samahani tu.. mi naomba amsamehe tu kijana keshajishusha
tangu uanze kuwa mweupe Queen darleen unapenda kuparamia wanaume sanaDada inaonyesha una hasira nae sana??
Sa hii mbona ni sifa mbaya kwa Gwajima, Mkristu, mfuasi wa YESU kwa cheo cha uaskof, watu wanamuogopa kwamba atawatendea mabaya, hata kama ni kwa dua, Mkristu na dua baya? Mungu yupi huyo atakayeombwa hilo dua? Ni huyu Jehovah aliyetambulishwa ktk Biblia kuwa ni Mungu wa UPENDO? Mtajifunua tu ngozi zetu.
haaaa leo kama una stress zinaisha IF jamanitangu uanze kuwa mweupe Queen darleen unapenda kuparamia wanaume sana