Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Diamond kamuomba Gwajima yaishe

Dimondo umetuharibia pozi la kesho aah...manake ungechanwa mpaka uzimie pwaaa...chezea Ngwajima wewe....
Yani we achatu, nilikua nishapasi kitenge changu cha Kigoma. Maana nigejua hadi mchepuka wa babu Tiffany
 
Hii series yaani kila episode ni kali balaa. Ngoja niagize popcorn.
 
Yani nasikia Mchungaji kanunua kabisa photocopy machine kusudi aweze kutoa copy nyingi za DNA kesho kanisani. Lakini ndohivyo hatujajua itakua je kesho
 
Kupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
Mkuu nimependa ile ya kumgeuza Serengeti Lager
 
Ila hii collaboration ya GwajiBoy na Mange ni tamu sana yani mpk Bashite anakosa usingiz
 
Kupitia ukarasa wake wa instagram. Diamond kasema hakumuimba Konda na Gwajima kwa ubaya. Kajishusha haraka sana. Kamuomba asimgeuze maji Nami naungana na Diamond kumuomba mchuganji asimgeuze maji kijana wetu, huenda wimbo tulikua hatujaulewa.
Gwajima hana lolote,ni wajinga na wale misukule wake kule kanisani ndiyo wanaomshadadia.
 
bwege Sana huyu dogo domo, watu bado tuna maumivu ya bashite kufanya nchi Kama ya Bibi take afu Leo anataka kumsafisha. gwajima amnyooshe tu kesho
 
Gwajima hana lolote,ni wajinga na wale misukule wake kule kanisani ndiyo wanaomshadadia.
Jitokeze hadharani bila id fake na haya MANENO yako ya shobo uone kama next Sunday hutauza Gazeti. Cheza na wengine, Gwaji is noma bro!!
 
division 0 in paper translates division 0 in brain, bashite kila ujambazi na kiki anayofanya inabuma. diamond umejichimbia kaburi
 
Back
Top Bottom