ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Gwajima kwa Diamond Si loloteee.......Gwajima hana nguvu kama DiamondDiamond kawa muungwana tu ila Diamond is hundred times bigger than gwajima!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima kwa Diamond Si loloteee.......Gwajima hana nguvu kama DiamondDiamond kawa muungwana tu ila Diamond is hundred times bigger than gwajima!
Watu wanakubali kutumika na Bashite mpaka vichwa vyao vinajaa ff.
Nendaa katoe na Sadaka hujakatazwaSisi wapenda ubuyu bila kwadithiwa tunawahi viti vya mbele. Hatutaki mambo ya YouTube. Tunataka kitu live. Hatutaki kuyasikia kwakina Mange cjui Lepumbuzi
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Sisi wapenda ubuyu bila kwadithiwa tunawahi viti vya mbele. Hatutaki mambo ya YouTube. Tunataka kitu live. Hatutaki kuyasikia kwakina Mange cjui Lepumbuzi
dunia ya sasa almost watu wote wako kama wa Tz tuuNajiuliza kama watu wa nchi nyingine wapo kama watanzania
Ndio maana nimekwambia Nenda....mimi mtoto wa masikini nitaenda kanisa lilo karibu yangu ibada one hour baada ya hapo kaziniVyote kwawakati moja sadaka, neno la Mungu, umbea wa Chibu
Unapokua na viongozi vilaza kumbuka hata wananchi wanakua hvyohvyo.... Na bado...Najiuliza kama watu wa nchi nyingine wapo kama watanzania
[emoji3][emoji3]JumlaDiamond kashapoteza mashabiki akiwemo mimi... na nikikuchukia ujue nimekuchukia jumla.....!
Nenda timu kiba!Diamond kashapoteza mashabiki akiwemo mimi... na nikikuchukia ujue nimekuchukia jumla.....!