Diamond kaniponza jamani

Diamond kaniponza jamani

Human being by nature is greedy and selfish,thus everyone need glorification b4 others,binafs sikusapot kwa ulichofanya busara yako ingekua kukaa kimya kuepusha shar,ona sasa ushalikoroga! Siku nyingine ujifunze
 
Jana bwana nilikua na shemeji yenu tumekaaa mahali tunaangalia world cup ile mechi ya saa nne basi bwana nikahisi kuanza kuboreka nikachukua headfon nikawa nasikiliza mziki yeye akiwa busy na mpira,

Na yeye akahisi mimi kuboreka akachukua headfon na yeye asikilize kile nichokua nackiliza ,wakati anachukua ulikua wimbo mpya wa Diamond unapigwa,

Basi bwana mara tukaanza kuongea mambo ya wanamuziki,nikawa namsifia Diamond bwana kwamba bwana mdogo anajitahidi ameanzia mbali ila he is somewhere now anajuhudi kwenye mziki yeye akawa anamponda .

kweli sijui hajui kuimba sijui mshamba sisi akataka na mimi ni msupport,alivyoona nampa fact eeeee niliamsha hasira za kipare ,

Ananiambia kama unampenda huyo Diamond si akakuoe sasa umefuata nini kwangu,

kiukweli sijui mambo ya Damond kunioa yalifikaje,aliongea sheet nyingi kwakweli,yaani mpaka sahizi kanuna hata sms ya morning sijapata na si kawaida yake yaani,

Hebu niambie wakaka hiiii inakuaje maaana simwelewi kwakweli,

Na anajua mimi na celebrity sio kivile sina hata access nao kwamba nitaweza hata kua karibu nao ,atakua amepatwa na nini huyu mwanaume?

Kwamuktadha huo siku ukipata access nae lazma umtie neno sio???


Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨
 
wewe mtafute huyo D ila sijui mziki wa wema utauweza ?Na uache kusifia wanaume mbele ya mumeo
 
Wewe umemtumia hata msg ya kumsalimia? Umempigia au unalalamika? Labda kajinyonga kwa wivu. Na ni utoto sana wa fikra kupost Kiila kinachokutokea na bwana ako kwenye mitandao
 
hahahaha kesho msifie rafiki yake uone jinsi gani jino linaweza ng'olewa bila ganzi.
 
Yani Baby nimeamin kuwa w si wife material kabisa, umenikosea alafu umekuja kunianika humu ukadhani sipo JF? Sasa subiri moto wake wala usinitafute kabisa na lain nabadili..eboooooo

Ha ha ha he is back nimembembeleza mpz wangu nw mpz motomoto ,pole kwa kujiigizia kua ni yy.
 
hahaha...hayo yako yananafuu,nakumbuka siku moja nilikua kwa mshkaji wangu hom kwake tunaangali move ya kibongo sasa dem wa jamaa alikuwa anamsifia sana jamaa flani wa bongo movie,kiukweli mshkaji wangu hakuchelewesha mabishano yakaanza gafla nikasikia paaa.kuangalia dem analia kala kibao cha maana.USHAURI,unapokua na mpenzi wako usipende kumsifia mwanaume yeyote tofauti na yeye.
 
Jana bwana nilikua na shemeji yenu tumekaaa mahali tunaangalia world cup ile mechi ya saa nne basi bwana nikahisi kuanza kuboreka nikachukua headfon nikawa nasikiliza mziki yeye akiwa busy na mpira,

Na yeye akahisi mimi kuboreka akachukua headfon na yeye asikilize kile nichokua nackiliza ,wakati anachukua ulikua wimbo mpya wa Diamond unapigwa,

Basi bwana mara tukaanza kuongea mambo ya wanamuziki,nikawa namsifia Diamond bwana kwamba bwana mdogo anajitahidi ameanzia mbali ila he is somewhere now anajuhudi kwenye mziki yeye akawa anamponda .

kweli sijui hajui kuimba sijui mshamba sisi akataka na mimi ni msupport,alivyoona nampa fact eeeee niliamsha hasira za kipare ,

Ananiambia kama unampenda huyo Diamond si akakuoe sasa umefuata nini kwangu,

kiukweli sijui mambo ya Damond kunioa yalifikaje,aliongea sheet nyingi kwakweli,yaani mpaka sahizi kanuna hata sms ya morning sijapata na si kawaida yake yaani,

Hebu niambie wakaka hiiii inakuaje maaana simwelewi kwakweli,

Na anajua mimi na celebrity sio kivile sina hata access nao kwamba nitaweza hata kua karibu nao ,atakua amepatwa na nini huyu mwanaume?

Haaahaaaa...anaogopa watu wanagawa game bure kwa mshikaji
 
kwani sifa gani na facts ulizo kuwa wampa jamaaa......
 
Hivi kweli mkiwa mmekaa na huyo mtani wako wa jadi halafu akashupalis kumsifia binti msanii kuwa ni mwanamke wa shoka, anajituma, amefanikiwa kimaisha na wife material wewe Kinyaa hutanuna kweli? Kuangalia tu maajabu ya muumbaji (yaani totoz zinazopita) mkiwa na mtani wa jadi huwa inakuwa issue ije kuwa kumsifia mmoja wao?
 
ni vigumu sana mwanaume kumsifia mwanamke mwngne mbele ya mke wke coz anajua atamkwaza mke hata kama huyo mwanamke ni maaruf vipi bt nyie wanawake huwa mnaona kawaida tu pasipo kujal hisia za mume wako, tena utackia yule mkaka ana hela au handsome sana wakat hapo unajua mume wako ni kapuku mba!!!
 
Back
Top Bottom