Diamond kaniponza jamani

Diamond kaniponza jamani

Ndo manake!
Sredi ako klosed!
Ulikuwa absentee leo kipindi cha kwanza!
Maelezo yasiyopungua full scape Tatu.
Angalizo!
Mwandiko wa Asprin naujua.ole wako akuandikie

Mwalimu wangu snowhite! Ntayaleta maelezo ila utaniwia radhi yataambatana na koni chocolate tatu pia...kila page na koni yake!
Love u my teacher!
Asprin hata simwambii
 
Last edited by a moderator:
mamy ndo zao hizo.. hata ss tuko hivyo.. akianza kumsifia mwanamke pia tunakuwaga wakali mnoo.. so ngoma drooo.. usikasirike mwaya
 
Yaaan namuona ana mambo ya kitoto kweli,duuuu ctarudia tena kumbe ni hatari mm nilikua cjui

Hahahahaaa
Sio mambo ya kitoto Hata Mimi demu wangu amsifie kidume mwenzangu mbele yangu lazima kinuke tu!!

Imagine Yeye angesifia maungo/shape ya Rihhana iko bomba zaidi ya madem wote !! Usinge wala wewe????? Hahahahaaa
 
Hata mimi ningekuchangia sasa mpira na Daimond wapi na wapi bora hata mngemsifia mrisho ngassa.
 
Wanaume hatupendi wake zetu wasifie wanaume wengine mbele zetu ni dharau kubwa sana, siku nyingine uchune tu acha kusifia wanaume mbele ya mume wako
 
Wivu ni kitu cha kawaida. Epuka kusifia sifia wanaume mbele ya mmeo
 
umemsifia dada mond mbele ya anaekuweka mjini umebugi
 
Jana bwana nilikua na shemeji yenu tumekaaa mahali tunaangalia world cup ile mechi ya saa nne basi bwana nikahisi kuanza kuboreka nikachukua headfon nikawa nasikiliza mziki yeye akiwa busy na mpira,

Na yeye akahisi mimi kuboreka akachukua headfon na yeye asikilize kile nichokua nackiliza ,wakati anachukua ulikua wimbo mpya wa Diamond unapigwa,

Basi bwana mara tukaanza kuongea mambo ya wanamuziki,nikawa namsifia Diamond bwana kwamba bwana mdogo anajitahidi ameanzia mbali ila he is somewhere now anajuhudi kwenye mziki yeye akawa anamponda .

kweli sijui hajui kuimba sijui mshamba sisi akataka na mimi ni msupport,alivyoona nampa fact eeeee niliamsha hasira za kipare ,

Ananiambia kama unampenda huyo Diamond si akakuoe sasa umefuata nini kwangu,

kiukweli sijui mambo ya Damond kunioa yalifikaje,aliongea sheet nyingi kwakweli,yaani mpaka sahizi kanuna hata sms ya morning sijapata na si kawaida yake yaani,

Hebu niambie wakaka hiiii inakuaje maaana simwelewi kwakweli,

Na anajua mimi na celebrity sio kivile sina hata access nao kwamba nitaweza hata kua karibu nao ,atakua amepatwa na nini huyu mwanaume?
Fala huyo
 
Back
Top Bottom